gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Nchi iko ovyo wewe unaangaika na ratiba za chadema.Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama
Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake
Mjini mipango