Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Kesi ya Mbowe: Kama madai haya ni ya kweli, basi ni aibu sana kwa wahusika

Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama

Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake

Mjini mipango
Nchi iko ovyo wewe unaangaika na ratiba za chadema.
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Acha umbea falana wewe
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Hangaya kajazwa na vibaraka wake wafungue kesi sasa inamtokea puani
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Dalali wa CCM,Zitto Kabwe alijituma mwenyewe.
 
Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.

Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.

Na aseme walipimweka Lijenje.

Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.

Mkubwa hakosei mkuu Bali anapitiwa tu, hapo inabidi tu DCI aseme hana nia ya kuendelea na hiyo kesi basi.
 
Mkubwa hakosei mkuu Bali anapitiwa tu, hapo inabidi tu DCI aseme hana nia ya kuendelea na hiyo kesi basi.
Uamuzi huo ukifikiwa, wasiojulikana na waliojulikana akina badluck &co, tuwaone wakiwa nyuma ya nondo .
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Hawa makitu ni hovyo sana
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Haya makitu ni hovyo sana
 
Hivi hao makomandoo waliopagawa walikua wapi bosi wao akilambwa mitama huko Dom mpk kuvunja mguu?
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Eem mambo yamefija huko?
 
By Mchokozi !! kupitia twitter:

Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.

Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Hivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? 🙄 Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?

Kuna watu wananufaika na uwepo wa Mbowe gerezani ikiwa ni pamoja na hao "waliotafuna muchango ya kesi."
 
Back
Top Bottom