Nchi iko ovyo wewe unaangaika na ratiba za chadema.Chadema ni Taasisi sio Mtu lakin tangu 'Mtu' awekwe ndani harakati zote za Katiba mpya sijui mikutano ya ndani sijui mikutano ya hadhara imesimama …hata harakati za kuwaandama kina Halima Mdee zimesimama
Sasa wanasimama kidete kutaka 'Mama' asimsamehe 'Mtu' ili waendelee kula pesa za Wazungu kugharamia kesi yake
Mjini mipango
Nchi iko ovyo wewe unaangaika na ratiba za chadema.
Inapitia machungu ila inalibeba na kuliimarisha taifa, hivyo pia ni fahari kwao kwa kulipambania taifa Kwa gharama ya kiwango hicho🤔.Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Familia imeshatoa msimamo hauwezi kufanya Jambo la kijinga kama hiloWewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Huyo ni Mzee mtei Siyo mbowe,.Mzee Mtei kaonekana Dodoma bwashee!
Acha umbea falana weweBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Hangaya kajazwa na vibaraka wake wafungue kesi sasa inamtokea puaniBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Dalali wa CCM,Zitto Kabwe alijituma mwenyewe.By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kwahiyo unamaana Gani🤔.Mzee Mtei kaonekana Dodoma bwashee!
Ifike mahali Taifa lisiishi kwenye unafiki.
Rais ndiye anayelazimika kutoka hadharani kumwomba msamaha Mbowe, Watanzania, familia ya Mbowe na Ulimwengu, na kusema kuwa ama alikengeuka au alikengeushwa kiasi kwamba akafanya uchafu wote huo dhidi ya Mbowe na makomandoo.
Na aseme walipimweka Lijenje.
Najua hatafanya, lakini tunaomba kabla ya hatma ya maisha yake ya Duniani kwisha, siku moja, kwa vile hakutaka kufanya kwa hiari, alazimishwe kufanya hivyo.
Imepiga ya kutosha matobo yalishabainika yakutosha, na Bado bati inaoza Kwa Kasi 🏃.Tulionya mapema sana lakini tulipuuzwa
Uamuzi huo ukifikiwa, wasiojulikana na waliojulikana akina badluck &co, tuwaone wakiwa nyuma ya nondo .Mkubwa hakosei mkuu Bali anapitiwa tu, hapo inabidi tu DCI aseme hana nia ya kuendelea na hiyo kesi basi.
Hawa makitu ni hovyo sanaBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Haya makitu ni hovyo sanaBy Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Eem mambo yamefija huko?By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Kwa hiyo wewe ndio shemeji yake Mbowe, sio.Wewe hujui machungu wanayopitia wanafamilia wa Mbowe.
Iacheni familia ifanye maamuzi sahihi!
Umeloa!Kwa hiyo wewe ndio shemeji yake Mbowe, sio.
Hivi kwa busara zako, hicho ulichosikia kinaingia akilini? Yani serikali iliyomfungulia kesi Mbowe iiombe familia yake akubali kesi iishe? 🙄 Kama ingekuwa hivyo, kwanini serikali ipoteze mamilioni kila siku kuendesha kesi hiyo badala ya DPP kuamua "kuachana nayo"?By Mchokozi !! kupitia twitter:
Mnaishinikiza Familia Imuombe Mwamba Akubali Kikao Cha Kumaliza Kesi Kwani Wakati Mnamkamata Na Kumfungulia Kesi Mliomba Kikao Nae? Mwiba Hutoka Ulipoingilia, Mwamba Anasema Wacha Iendelee Kunyesha.
Njia PEKEE Ya Rais Kuondokana Na Hii Kesi Ni Kusema "Nilishauriwa Vibaya" Au "Tumeona Kesi Haina Maslahi Kwa Umma Na Tumeamua Kuzika Tofauti Zetu" Kuiomba Familia, Kuwatuma Marafiki Wa Mwamba Gerezani, Kumtumia Zitto, Kumtuma Mzee Mangula Kwa Mnyika Haitasaidia.
Lissu???Mwanasiasa pekee ambaye sina mashaka naye kwa sasa ni Mbowe. Wengine ni takataka tu