Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili....
Hata kama mzee, ni aibu kubwa that's why mahakamani watu walicheka🤣,

Yaani kwa jinsi alivyoelezea wasifu wake haswa elimu aliyonayo, na kusoma nchi za ng'ambo, anafanya kazi maabara kubwa kama hio, anaandika report halafu hajui maana ya engage na terrorism?🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣

Aisee ni aibu mno, nahisi alichanganya tourism na terrorism 🤣🤣😂🤣😂🤣🤣

Jamaa amejiabisha na anajuta kuitwa kama shahidi na kiherehere chake, waanze kuchunguza vyeti vyake🤣😂😂🤣🤣

Mungu kamuumbua🤣😂🤣😂🤣

#terrorismniutalii
 
wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru. hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Wanasheria wataje ili tuwarecommend bro
 
Jana tumesikia polisi akitoa ushahidi wake kwenye kesi ya Mbowe. Tumesikia na siyo mara ya kwanza wakijitetea kwamba maelezo waliyoandika wamejisahau wakakosea yaani "typographical error"...
Umechambua na kueleza vizuri kabisa lakini je ndio mlengo wao hao wanasheria
 
wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru. hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Dalali!

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
amedanganywa nini mzee? kwamba wewe unajua mambo yote yanayotendeka hapa nchini? una tiss? una polisi? una vyombo vya uchunguzi?..utasemaje waongo wakati wewe mwenyewe hapo ulipo upo kiganjani mwa vyombo hivyo vinavyojua unaishije na unatakiwa kuishije kila siku? usilolijua ni kama usiku wa giza.
Na wewe Ni takataka kumbe with a new ID
 
Hata kama mzee, ni aibu kubwa that's why mahakamani watu walicheka🤣,

Yaani kwa jinsi alivyoelezea wasifu wake haswa elimu aliyonayo, na kusoma nchi za ng'ambo, anafanya kazi maabara kubwa kama hio, anaandika report halafu hajui maana ya engage na terrorism?🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣

Aisee ni aibu mno, nahisi alichanganya tourism na terrorism 🤣🤣😂🤣😂🤣🤣

Jamaa amejiabisha na anajuta kuitwa kama shahidi na kiherehere chake, waanze kuchunguza vyeti vyake🤣😂😂🤣🤣

Mungu kamuumbua🤣😂🤣😂🤣

#terrorismniutalii
Inaathiri nini kwenye ushahidi wa prosecution, si umebaki umesimama? shauri yenu.
 
hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine wanatarajiwa...

Hawatakuewa hapa,wewe wape muda tu watarudi tena hapa kupiga mayowe mwisho wa kesi.Kwa sasa kila mtu hapa anajiona ni nguli wa kuchambua kinachoendelea Mahakamani,

Kwamba ushindi kwao ni kutoa update hapa mitandaoni,umewashauri vizuri sana swala la kutafuta Wanasheria nguli wa kesi za jinai,lakini hawatakuelewa,wao kwao Kibatala ndiyo kila kitu,wanamuona mbobezi kwenye nyanja zote za kisheria.
 
Hata kama mzee, ni aibu kubwa that's why mahakamani watu walicheka[emoji1787],

Yaani kwa jinsi alivyoelezea wasifu wake haswa elimu aliyonayo, na kusoma nchi za ng'ambo, anafanya kazi maabara kubwa kama hio, anaandika report halafu hajui maana ya engage na terrorism...

Kwahiyo hilo tu ndiyo linakufanya uwe confortable na mwenendo wa kesi la watu kucheka Mahakamani? Ungejaribu kumwelewa hoja yake kwanza.

Nachokiona hapa ni siasa nyingi tu inaendelea kuliko uhalisia na ndiyo maana vitu vidogo kama hivyo ndiyo vinamake headlines hasa hapa JF maana kumejaa reporters ambao wana mlengo mmoja, lakini mwisho wa siku yale yale ya PGO yatakuja kujiriudia,na tutajazana hapa kutoa stress na makasiriko yetu mwisho wa kesi hii.

Watafutwe Wabobezi wa Sheria za makosa ya Jinai wadeal na hii kesi kumuokoa M/Kiti ambae naamini hana hatia, lakini kama mnataka tuendelee na kujaza thread za kuchekesha, mwisho wa siku hao kina terrosism ni Utalii wataibuka kidedea ndipo mtabaki midomo wazi.
 
Kwa hii kesi nadhani mh Tundu lissu angekuwepo nchini angeupiga mwingi sana
 
Kwa ushahidi huu waking’ang’ania kumfunga basi kunaweza kutokea fujo kubwa sehemu nyingi nchini siku ya hukumu na kuendelea mbele.
Wanalazimisha ili kumridhisha Hangaya ila watakuja kuaibika vibaya sana na hii kesi yao uchwara ya kubumba
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru. hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Unataka watumie mamluki wa ccm ?!
 
wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru. hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Aisee, bila shaka wewe ni HAKIMU ZUZU.
 
hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine wanatarajiwa kuitwa pengine kana kwamba ushahidi wa mtu mmoja tu huyo hata ukiwekwa pembeni utaangaliwa ushahidi wa wengine?....kujua kiswahili cha terrorist/terrorism au kutojua kunafifisha charge aliyosomewa? wakati pengine ameshaeleza maelezo ya nini maana ya ugaidi?.....je? wamejua nini lengo la prosecution kumwita shahidi huyo? kwamba walimwita kuja kuthibitisha nini among others kwasababu kuna wakati prosecution wanaweza kuita shahidi kuja kuthibitisha kitu kimoja tu miongoni mwa vingi na vingine vitathibitishwa na mashahidi wengine na akishathibitisha kile wanachokitaka tu wanakuacha tu wewe uulize maana za terrorism na matakataka yako yoote na kesi yao inabaki imesimama...ndio maigizo wanayoyafanya hao mawakili wenu. kwa bahati nzuri nilishawahi kuwa prosecutor na ninawaonea huruma chadema kwasababu kwa wanachokifanya mawakili wenu mtakuja kulia.
Unaandika maneno meeengi lakin utopolo mtupu!!!
Huyo Shahid wa 2 wa Jamhuri, inakuaje tarehe 20/8/2020 anayosema yupo na Mbowe Longido... lakin tarehe hiyohiyo alikuwa amekamatwa yupo gerezani ukonga. Yani unawezaje kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, sehemu ambazo zinatofautiana kadri ya km 750? Alitoka gerezani saa 3 usiku akaenda na ndege Longido akaonana na Mbowe, halaf alipomaliza akapanda ndege tena ikamrudisha magereza?

Swali.... ushahidi wa shahid wa 3 uliandikwa kwa kiswahili? Una uhakika? Ripoti ya ushahidi wa silaha kutoka laboratory ya ballistic imeandikwa Kiingereza...umeiona!?? Je kuna ushahidi mkubwa zaidi ya hiyo ripoti? Kama ushahidi uliandikwa kwa kiswahili kichwa cha habari cha ripoti hiyo kuna maneno yalikosewa kama conspiracy yakaandikwa "consipirancy" hicho ni kiswahili?.... kwanza umeona hiyo ripoti ya huyo mtu wa ballistic imeandikwa kwa lugha gani?

Pili huyo Shahid wa 3 wa Jamhuri wa ballistic.. inakuaje unaleta maganda mawili ya risasi ya bunduki moja yanayotofautiana? Yaani yanayotumika kwenye bunduki tofauti? Halaf hapohapo anasema ni maganda ya risasi ya bastola moja, Kuna ushahidi hapo?
 
Back
Top Bottom