Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

Kazi sanaa aisee kama nawe ndo mwanasheria.
Anajiita prosecutor wa zamani. Kwa kujiita hivyo ni dhahiri ni wale Polisi waliokuwa waendesha mashtaka kabla kazi hiyo kupelekwa Kwa DPP.

Anaendelea kudhani walivyokuwa wanabambikia kesi watu huku yeye Polisi mwenzao akishirikishwa na kutoa ushauri wabadilishe maelezo ya mshtakiwa na waweke saini ya Mshtakiwa Kwa dole gumba wakitumia kichaa cha uume wa Polisi mwenzao inaendelea mpaka Sasa.
 
wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru. hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Kwa hyo wew ndio mwanasheria mzuri?Upuuzi mtupu
 
Kwahiyo hilo tu ndiyo linakufanya uwe confortable na mwenendo wa kesi la watu kucheka Mahakamani? Ungejaribu kumwelewa hoja yake kwanza.

Nachokiona hapa ni siasa nyingi tu inaendelea kuliko uhalisia na ndiyo maana vitu vidogo kama hivyo ndiyo vinamake headlines hasa hapa JF maana kumejaa reporters ambao wana mlengo mmoja, lakini mwisho wa siku yale yale ya PGO yatakuja kujiriudia,na tutajazana hapa kutoa stress na makasiriko yetu mwisho wa kesi hii.

Watafutwe Wabobezi wa Sheria za makosa ya Jinai wadeal na hii kesi kumuokoa M/Kiti ambae naamini hana hatia,lakini kama mnataka tuendelee na kujaza thread za kuchekesha,mwisho wa siku hao kina terrosism ni Utalii wataibuka kidedea ndipo mtabaki midomo wazi.
Unaamini Mwenyekiti Hana hatia halafu unakaa JF kimya badala ya kwenda kuongeza nguvu mahakamani? Mbona WAKILI toka Bukoba kajiongeza mwenyewe? Au unataka kulipwa, sema uko wapi tukufuate.

Usichojua ni kwamba hukumu yoyote nchi hii inaweza kutolewa Kwa haki au Kwa dhuluma Kwa sababu Mahakama ziko mifumoni mwa Dola. UTAWALA wa Magufuli japo ulikuwa mbovu lakini umetusaidia Sana kujua kwamba hukumu nyingi hasa zinazohusu wanasiasa zinashinikizwa na wanasiasa watawala.

Kwa hiyo watu hapa wamejiandaa kisaikolojia hata Mwenyekiti akifungwa imeshaonekana hapa ukweli ni upi.
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.

Ni kwamba unadhani hatuna uelewa wa mambo ama nini? Tunaona kabisa ushahidi wa jamuhuri ni wa kubumba kisha utoonyeshe kuna kubwa tusilolielewa?

Labda kama kwa sasa mahakama inatoa hukumu kwa kutumia mbinu za kushangaza na sio ushahidi.

Hata kama Mbowe na wenzake watafungwa, sio kwa ushahidi wa jamuhuri kuwa ni magaidi, bali kwa maelekezo ya nje ya mahakama, yanayoongozwa na siasa za kishenzi.
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Kibatala ndo' best criminal lawyer in Tz.
 
Hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine wanatarajiwa kuitwa pengine kana kwamba ushahidi wa mtu mmoja tu huyo hata ukiwekwa
Prosecutor gani mweupe hivyo kichwani kama mvi za Lowasa!
 
Hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine
Bora hata usingejisifia kuwa uliwahi kuwa prosequtor, maana nyie ndio baadhi ya watu mnayofanya kazi kwa kiwango duni sana.

Kinachowabeba ni kwakuwa hiyo mahakama haina ushindani, na wala hakuna vigezo vilivyo wazi vya kupima ubora/uwezo wenu. Lakini ikitokea kukawa na ushindani wa kweli, nyie maprosecutor uchwara wote mtapigwa chini.

Kuna mlundikano mkubwa wa kesi huko mahakamani, na sababu kubwa inaletwa na nyie maprosecutor uchwara, mko kubambikizia kesi zaidi kuliko weledi, mkikutana na mahakimu na majaji waganga njaa basi ni upuuzi mtupu.
 
Umeandika kishabiki sana
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
 
Bora hata usingejisifia kuwa uliwahi kuwa prosequtor, maana nyie ndio baadhi ya watu mnayofanya kazi kwa kiwango duni sana. Kinachowabeba ni kwakuwa hiyo mahakama haina ushindani, na wala hakuna vigezo vilivyo wazi vya kupima ubora/uwezo wenu. Lakini ikitokea kukawa na ushindani wa kweli, nyie maprosecutor uchwara wote mtapigwa chini. Kuna mlundikano mkubwa wa kesi huko mahakamani, na sababu kubwa inaletwa na nyie maprosecutor uchwara, mko kubambikizia kesi zaidi kuliko weledi, nikakutana na mahakimu na majaji waganga njaa basi ni upuuzi mtupu.
Muue
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Usitupangie Cha kufanya, kwamba wewe Ndo unaakili Sana kuliko chama ambacho kinawaamin?

Wewe KESI ngapi umesimamia na kushinda, ACHA Mambo YAKO bwana
 
Upuuzi mwingine huu wa mimburula nyumbu,huyo kibatala na malya wana uwezo gani kuzuia mahakamani isifanye kazi yake.
Wapumbavu tu hao mawakili na wanapiga hela kwa kuchelewesha kesi isiishe.
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Kwenda huko wewe bushlayer.....kwenye sheria hakuna kitu kinachoitwa truth bali kuna facts.
 
Jana tumesikia polisi akitoa ushahidi wake kwenye kesi ya Mbowe. Tumesikia na siyo mara ya kwanza wakijitetea kwamba maelezo waliyoandika wamejisahau wakakosea yaani "typographical error".
Mkuu inapotokea typographical error huwa wanarejea kwenye maelezo halisi (yaliyoandikwa kwa mkono). Hivyo usitoe ushindi kwa Mbowe kwa sababu kuna typographical error.
 
Mkuu inapotokea typographical error huwa wanarejea kwenye maelezo halisi (yaliyoandikwa kwa mkono). Hivyo usitoe ushindi kwa Mbowe kwa sababu kuna typographical error.
Hayo yalitakiwa yakaguliwe na kureke ishwa kabisa kabla ya kuitwa na kusikilizwa mahakamani.
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Hii kesi ya kubumba haiihtaji expert wa criminal case, shahidi wa tatu bado hakuna ushahidi hauwezi kumui implicate mtuhumiwa.
 
Hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine wanatarajiwa kuitwa pengine kana kwamba ushahidi wa mtu mmoja tu huyo hata ukiwekwa pembeni utaangaliwa ushahidi wa wengine?

Kujua kiswahili cha terrorist/terrorism au kutojua kunafifisha charge aliyosomewa? wakati pengine ameshaeleza maelezo ya nini maana ya ugaidi?.....je? wamejua nini lengo la prosecution kumwita shahidi huyo?

Kwamba walimwita kuja kuthibitisha nini among others kwasababu kuna wakati prosecution wanaweza kuita shahidi kuja kuthibitisha kitu kimoja tu miongoni mwa vingi na vingine vitathibitishwa na mashahidi wengine na akishathibitisha kile wanachokitaka tu wanakuacha tu wewe uulize maana za terrorism na matakataka yako yoote na kesi yao inabaki imesimama.

Ndio maigizo wanayoyafanya hao mawakili wenu. kwa bahati nzuri nilishawahi kuwa prosecutor na ninawaonea huruma chadema kwasababu kwa wanachokifanya mawakili wenu mtakuja kulia.
Dogo Hakuna kesi hapo ni kupoteza muda tu.
 
Back
Top Bottom