Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa

Hii ni forum ya maelezo, toa maelezo.

Mkuu 'Kisanduku', umejizungushazungusha sana bure tu!

Sioni uhusiano juu ya 'kesi ndogo', na haya ya 'typo' yaliyomo kwenye kesi yenyewe. Umejitahidi sana kuonyesha uwepo wa mfanano, lakini ni kama mfanano huo unaulazimisha tu uwepo.

Hukumu ya kesi ndogo, unaeleza kwamba akina Kibatala walishindwa! Kwa utaalam wako, kweli unaona kwamba kesi ile walishindwa? Maelezo ya Jaji uliyasikia na ukaridhika na sheria alizotumia kuamua hiyo kesi?

Inaonekana kama wewe ni msomi wa sheria, lakini ulivyoiweka hii mada, inashusha hadhi ya elimu uliyo nayo kwenye taaluma hiyo. Au pengine bado ni mwanafunzi?
 
Shahidi kapigwa Lupango mwezi wa nane 2020, lakini cha ajabu akakutana na Mh. Mbowe Mwezi October 2020 ha ha haha sasa sijui alipanda ungo kuvuka senyenge za mageleza.

Hii kesi aisee.
 
huna akili au huna experience mahakamani. nilichokuambia ni kwamba, what if you expunge ushahidi wa huyo shahidi mmoja ambaye kwa demeanour au coherence ya ushahidi wake ataonekana hayupo credible, kesi ya prosecution imefia hapo au imeathirika vipi kwa ushahidi wa huyo mmoja?so the whole evidence is centred on that only single witness? subirini mwisho utakuja kuniambi.
Sasa wewe ndugu kuna shahidi gani Kati ya hao watu - Kingai, Power Kaaya na kopolo wa maabara ya bunduki na milipuko ambaye ametoa coherent evidence; self au across!
Kwa mtu mwenye akili timamu anajua kinachoendelea hapo Mahakamani. Hakuna sababu ya kutishana, eti 'ngoja uone'!
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Nyooooo
 
Naelewa frustrations ulizonazo kuzaliwa na kulelewa nnje ya Ndoa ni trauma itakayokutesa mpaka unaingia kaburini.Pole lakini,msamehe Mama yako na yeye hakupenda iwe hivyo.
Mwambie mama yako akuambie baba yako wa kweli
 
Amedanganywa nini mzee? kwamba wewe unajua mambo yote yanayotendeka hapa nchini? una tiss? una polisi? una vyombo vya uchunguzi?

Utasemaje waongo wakati wewe mwenyewe hapo ulipo upo kiganjani mwa vyombo hivyo vinavyojua unaishije na unatakiwa kuishije kila siku? usilolijua ni kama usiku wa giza.

Chapwa, nadhani ambacho alidanganywa ni pale alisema “……..washitakiwa wengine walishahukumiwa na wanatumikia vifungo vyao ……….”

Kwa hilo tu, unadhani ni ukweli huku watu hao hao wako mahakamani leo na kesi haijafikia hata majumuisho, au kusubiri hukumu??

Acha kuwa emotional na neno “waongo”. Ukweli kawaida unatabia ya kuumiza na kuleta vijisababu - acha kumtisha jamaa eti yuko kiganja cha watu!! Jiulize tu Rais alisema ukweli na kama haukuwa ukweli - aliyempa mrejesho huo alimwambia ukweli???
 
Wakati mwingine nikisikia watu wasio wanasheria wanavyojadili mambo ya kisheria huwa nawaonea huruma sana kwasababu it will take them 100 years to know the truth. hapo hakuna wanasheria, tafuteni wengine, fuateni ushauri huu mtakuja kunishukuru.

Hao sio criminal lawyers, kuna mawakili wa jinai wazuri na wanajua techniques kuliko hao, wao faida yao ni kwamba wanajipublicise na kupata wateja na kujulikana zaidi nchini ila sio kuwasaidia kwenye hiyo kesi.
Kuna mtu kaniambia maneno kama haya leo, japo sikumwelewa sana maana sina utaalamu katika mambo haya ya sheria
 
Hayo hapo juu yanaathiri nini ushahidi wa prosecution hasa ikizingatiwa shahidi hajui kiingereza, ameulizwa kwa kiswahili, maelezo yaliandikwa kwa kiswahili, na wapo mashahidi wengine wanatarajiwa kuitwa pengine kana kwamba ushahidi wa mtu mmoja tu huyo hata ukiwekwa pembeni utaangaliwa ushahidi wa wengine?

Kujua kiswahili cha terrorist/terrorism au kutojua kunafifisha charge aliyosomewa? wakati pengine ameshaeleza maelezo ya nini maana ya ugaidi?.....je? wamejua nini lengo la prosecution kumwita shahidi huyo?

Kwamba walimwita kuja kuthibitisha nini among others kwasababu kuna wakati prosecution wanaweza kuita shahidi kuja kuthibitisha kitu kimoja tu miongoni mwa vingi na vingine vitathibitishwa na mashahidi wengine na akishathibitisha kile wanachokitaka tu wanakuacha tu wewe uulize maana za terrorism na matakataka yako yoote na kesi yao inabaki imesimama.

Ndio maigizo wanayoyafanya hao mawakili wenu. kwa bahati nzuri nilishawahi kuwa prosecutor na ninawaonea huruma chadema kwasababu kwa wanachokifanya mawakili wenu mtakuja kulia.
Hakuna prosecutor mjinga kama ww

Huko maabara hakuna ushahidi wowote ulioletwa huko , kupima kifaa ki hai au sio hai ni ushahidi gani?

Ushahidi uliokua unahitajika na wenye mashiko and ni

1. Ni nani mmiliki halali wa silaha
2. FInger print
3. DNA test
4. Fiber

Huo ndio ushahidi

Lkn hata hivyo hauna maana manake hakuna sehem silaha imefanya tukio , ni sawa na mtu akukute na panga Barabaran uko kwenye mishe zako akukamate aseme ulitaka kuua mtu ushahid n panga ulilolokua nalo

Ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom