Mimi nataka pesa mfukoni niiishi maisha mema na wanangu period. Hata Mbowe yuko kazini tu wala hatafuti Katiba Mpya, yeye ndiyo njia yake ya kupatia fedha.
Wananchi wanatumiwa tu na wanasiasa. CCM haitaki Katiba Nzuri kwa kuwa inajuwa itatolewa madarakani. CHADEMA na wapinzani wengine wanataka Katiba Mpya ili waitoe CCM na watawale.
Ni ukweli usio kwepeka mkuuWenzetu wote waliofanikiwa kujikomboa na wako vizuri ni wale tu
1. Walio kwishaviondoa vyama vilivyo achiwa madaraka na wakoloni.
Au:
2. Haziko chini ya utawala ulio ingia kupitia mtutu wa bunduki.
Mbona ndugu zake huyo Moses Linjenje hatujawahi wasikia wakimtafuta? Yawezekana ni parody name kama brazajMbowe, Adamoo, Ling'wenya, Bwire, au Lijenje wanakuhusu nini wakulungwa wewe?
Inafahamika kuwa mnaojali maslahi yenu binafsi tu, na msiojulikana mmo.
Yuko wapi Moses Lijenje?
Mbona ndugu zake huyo Moses Linjenje hatujawahi wasikia wakimtafuta? Yawezekana ni parody name kama brazaj
Ni ukweli usio kwepeka mkuu
Uchungu wa dawa ndo tiba yake
Hakuna mabadiliko pasipokuwa na mapinduzi
Wazee wetu waliyatoa sadaka maisha yao kwa ajili yetu
Nasi hatuna budi kuyapambania masirahi ya kizazi chetu kijacho
Chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho zama za chama tawala zinepitwa na wakati
Mapinduzi ni muhimu
Nimhumu uongozi CHADEMA ufanye vyote kwa mpigo: Kuendesha kesi na kuhamasisha madai na makongamano ya katiba mpya.Siyo siri kuwa vita vitakatifu vinaendelea pale mahakamani. Ni wazi kuwa ule upande mwingine bila kumwacha awaye yote:
View attachment 1992166
wote wako Chobingo, na wala si cha mtoto!
Tunapo tathmini yanayojiri tokea kuanza kwa marumbano yaliyopelekea kesi hii na yote tuyaonayo, hakuna asiyejua mzizi wa fitina ni yale madai ya katiba mpya.
Madai ya katiba mpya yaliyokuwa yakishika kasi chini ya kamanda Mbowe ndiyo yaliyo chimbuko la wazi la kesi hii na hukumu hizi za kubambikiziana.
Kwamba harakati hizo zimepoa na wametuweka busy kujadili kesi hii isiyokuwa na kichwa miguu, waliko wanaweza kuwa wanachekelea kwa ushindi. Watakuwa wanahesabu mafanikio.
CHADEMA, hawa watu tusiwabeze, inawezekana wamechoka kutumika na sasa wameamua kuboronga
Si Siyani, Kingai, Kaaya wala Corporal Abdallah aliyeweza kuonyesha uwepo wa hoja zozote zenye kumfanya yeyote mwenye akili zake kuweza kuamini kuwa pana kesi ya ugaidi hapa.
Kesi hii yaweza kuwa na malengo ya mbali ya kututoa kwenye reli na kutupotezea muda.
Vivyo hivyo kumtoa kamanda Mbowe kwenye reli, kumtesa na kumpotezea muda. Hayo ni kama ilivyo kwa washtakiwa wenziwe na bila kumsahau Moses Lijenje.
Mbowe: Kwanini atashikiliwa kwa Muda Mrefu
Kwa sababu hii, ni muhimu kujua ni faida zaidi kwao kuendelea na kesi hii na kwa muda mrefu kwa kadri inavyowezekana. Hii ikiwa bila kujali nini itakuwa hatima ya kesi yenyewe.
Upande wa pili hawana cha kupoteza kwenye kesi hii, hali sisi tuna vyote vya kupoteza ikiwamo muda na momentum.
Wanajua kwenye matokeo ya hii kesi (kama ni mechi ya mpira) basi tutawachapa 3 - 0. Ila kwa hatima ya kesi, kama faida mkononi watatuchapa 6 - 0.
Tunaweza kuifuatilia kesi hii hali mapambano ya kudai katiba mpya yakiendelea na hata kwa kuyaboresha zaidi.
Kama wanachama mbona tuko lukuki?
Wananchi huhitaji uongozi. Kwenye hili hatuwezi kuwa exception.
Nimhumu uongozi CHADEMA ufanye vyote kwa mpigo: Kuendesha kesi na kuhamasisha madai na makongamano ya katiba mpya.
Mkuu jiulize wazee wetu wasinge fight mambo yangekuweje kwa sasaUnasomeka vyema. Mapinduzi ni muhimu na hayakwepeki.
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Huko Mahakamani nafatilia vituko tuu muhuni anatoa CV masaa mawili kasoma Botswana mara China mambo ya vilipuzi harafu bado anasotea V...kiingereza cha kawaida tuu fungua mlango na funga hajui sijui huko Botswana alikua anaongea lugha gani..
Na unafaham ulichoandika ni ujinga ujinga hivi, na umetoa ufaham kwa makusudi.CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.
Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.
CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Lakini ccm wenye uwezo hawatumii uwezo wao bila ya policcm.CHADEMA haina uwezo, mifumo wala watu wenye maarifa wanaoweza ku-handle kesi ya Mbowe na wakati huo huo kuimarisha chama kuelekea 2025.
Ni ama Mbowe aachiwe huru aje kujenga Chama chake ama afungwe Chama chake kife rasmi.
Mtuache CHADEMA kwa sasa akili yote iko Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe.
CHADEMA hii inazidiwa kwa mbali sana ki-organization hata na WASAFI ya Diomond!
Na unafaham ulichoandika ni ujinga ujinga hivi, na umetoa ufaham kwa makusudi.
Yaani wewe na hao watoto wako mtaishia kuwa wajinga wajinga tu!Mimi nataka pesa mfukoni niiishi maisha mema na wanangu period. Hata Mbowe yuko kazini tu wala hatafuti Katiba Mpya, yeye ndiyo njia yake ya kupatia fedha.
Wananchi wanatumiwa tu na wanasiasa. CCM haitaki Katiba Nzuri kwa kuwa inajuwa itatolewa madarakani. CHADEMA na wapinzani wengine wanataka Katiba Mpya ili waitoe CCM na watawale.
Endelea kukaririshwa Katiba mpya bila elimu ya Katiba kama utakula Katiba mpyaYaani wewe na hao watoto wako mtaishia kuwa wajinga wajinga tu!
Kwa taarifa yako hiyo mipango yako na upatikanaji wa hizo pesa alkadhalika mafanikio ya watoto wako; tote ni michakato inayohitaji siasa na Katiba madhubuti!!
Yaani wewe na hao watoto wako mtaishia kuwa wajinga wajinga tu!
Kwa taarifa yako hiyo mipango yako na upatikanaji wa hizo pesa alkadhalika mafanikio ya watoto wako; tote ni michakato inayohitaji siasa na Katiba madhubuti!!
Kwa hiyo makosa ya kudai katiba, kuwa mwenyekiti kwa miaka 18, ndo yanayo mfanya Mbowe kuwa gaidi? Kwa hiyo angetulia tu kwenye boxer asingekuwa gaidi?!Ukichamba sana lazima ushike kinyesi. Mbowe kashika kinyesi kwa kujifanya mjuwaji. Miaka 5 ya Mwendazake aliufyata kimya kama uchi wa mwanaume hanithi kwenye boxer, lakini alivyokuja Rais SSH alimu underate sana kwa kumuona mwanamke hana uwezo.
Tatizo ni ulemavu wa uongozi alionao Mbowe. Kule CHADEMA yeye ndiye Mwenyekiti na yeye ndiyo sauti ya mwisho kwa kuwa amekuwa Mwenyekiti toka 2003, miaka 18 sasa.
Kimsingi Mbowe hana haiba ya kuwa Kiongozi wa kudai Katiba mpya kwa vile naye ni DIKTETA mbaya sawa na Magufuli tu.
Ngoja waonyeshane makali, sisi yetu macho
Angekuwa darasa la saba, au form four shule za kata, tungeshukuru tu! Huyu anaweza kuwa PHD holder! Consipracy to committ Torrorist mkubwa huyu Torrorism = utalii!Wewe lofa umeishia darasa la ngapi?
Yaani watu wa hivyo akili zinaangalia Leo tu; akipata yeye na watoto wake anahisi amemaliza maisha.Kenge akisikia bila damu masikioni usiache kutuletea mrejesho 😁😁
Umeguswa ‘pumbu’vuu, zako?Pumbavu
Yaani watu wa hivyo akipata yeye na watoto wake anahisi amemaliza maisha.
Shenzi type kabisa! Wangekuwa wana alama usoni ukimuona unamfanyia displacement reaction!