Mitano tena kwa jaji
 
Demka na mashairi ya tusonge mbele kama nini..ngoma hii hadi ifike mwisho hili bonge la series breaking bad haifui dafu. Either mwamba atoke huru ama ale mvua za kutosha
baada ya kumsikiliza huyo shahidi wa DPP jana nikajua hamna kesi humo ni aibu tupu.
 
Ni jambo la kushangaza sana mhimili wq mahakama kuingiliwa na vipolisi.. chief judge usikubali mahakama yako kudhalilishwa kiasi hicho!
 
Upande wa Jamhuri wameshindwa kuileza Mahakama kifungu cha sheria kinachokataza wananchi kuingia na simu na kutoa taarifa juu ya kinaendelea katika kesi Na. 16/2021, Jaji akasema hakuna sheria wala kanuni inayokataza watu kuingia na simu mahakamani.
aisee..... yaani jeshi linafanya kazi bila vifungu cha sheria bila kujua kwamba ukiwa mahakamani ukitoa kauli lazima uisindikizie na sheria. kazi ipo tena pevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…