Simu hazizimwi, simu hua zinatolewa saut digidig ww
 
Simu hazizimwi, simu hua zinatolewa saut digidig ww
Kwa hiyo kama haizimwi kama unavyotaka kulazimisha kuwa unaacha kufutilia mwendo wa kesi unaipokea?

Ukipokea simu unaonea kwa sauti au unafanyaje usipitwe na kinachoendelea?

Kile unachokifanya hapo mahakamani wakati shughuli za mahakama zikiendelea haziwabughudhi wengine?

Je, kutuma kila kinachojiri hapo mahakamani wakati huo hakiingilii uhuru wa mahakama na kuwaelekeza mkondo upi wauchukue kufanya uamuzi bila kudhibiti hisia za maslahi binafsi?
 
Baada ya kusoma paragraph ya kwanza inatosha kukupuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…