Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbaniKuna watu wanatumika vibaya kama dume kondom, atavuna aibu huku waliomtuma wanagonga wine
Alisema hao washtakiwa wenzie na mbowe walishahukumiwaKwa Hangaya tumepigwa big time
Hivi ndiye?Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbani
Baba ako hebu mwangalie mdogowako wa tatu kwa umakini utaelewa kituKumbe Mbowe ni Mungu![emoji15]
Hicho ndio kiwango chao wala usishangaeAnaulizwa mara tatu tatu ni RAO au RAU? Yeye anakomalia RAO, huyu kamezeshwa. Hakunaga sehemu inaitwa RAO moshi
Director wa movie hii ni Sirro kwa maagizo ya Mteja aitwaye CCM,sina uhakika kama director anao utaalamu lakini kapewa kazi kichwa kichwa akaivagaa bila utafiti na upembuzi.Wanaenda kuangukia pua katika hili na kwenye Royal Tour wana crush again.Ukiwatazama na kuwasikiliza unagundua kuwa wapo desperate and stressed.Polisi wa Tanzania vichwa maji kabisa.
Yaani huyu rpc kingai anazungumzia mambo ya dawa za kulevia ambayo hayapo kwenye charge shirt?
Yaani hata ufahamu wa kesi waliyoleta mahakani hana halafu eti ndio walimwamini Tanzania nzima amtengenezee Mbowe kesi.
Halafu Luteni kanali wa JwTZ anaripoti kwa mbavu tatu wa polisi.
Huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa protocol.
Mama anaupiga mwingiAiseee kazi kweli
Sidhani kama ndiye mwenyewe! Sura mbona ni tofauti kabisa? Mpaka uchaguzi huyu bwana alikuwa RCO Arusha na yule jamaa aliyemwambia Mbowe kwamba hashindi alikuwa OCD Hai.Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbani
Nilijua nitaona kitakachoendelea au hata kusikia kumbe waandishi wamezuiwa?Mama anaupiga mwingi
Mambo mengine ni aibu. Mamlaka za teuzi zinapaswa kuzingatia elimu na weledi Kwa Viongozi waandamizi wa jeshi la Polisi.Polisi wa Tanzania vichwa maji kabisa.
Yaani huyu rpc kingai anazungumzia mambo ya dawa za kulevia ambayo hayapo kwenye charge shirt?
Yaani hata ufahamu wa kesi waliyoleta mahakani hana halafu eti ndio walimwamini Tanzania nzima amtengenezee Mbowe kesi.
Halafu Luteni kanali wa JwTZ anaripoti kwa mbavu tatu wa polisi.
Huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa protocol.
Na leo walikwenda?hawa wawakilishi ubalozi kunajambo wanalifatilia waone kwa macho yao hawataki kuongopewa.. hapa kuna jambo litajiri baada ya kesi kumalizika
Nimekaa moshi ... sijui sehemu inaitwa RAOAnaulizwa mara tatu tatu ni RAO au RAU? Yeye anakomalia RAO, huyu kamezeshwa. Hakunaga sehemu inaitwa RAO moshi