Magaidi yako çcm mpaka ikulukwahiyo tanzania magaidi tuyaangalie tu kisa watafunga balozi zao? mbowe ni gaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magaidi yako çcm mpaka ikulukwahiyo tanzania magaidi tuyaangalie tu kisa watafunga balozi zao? mbowe ni gaidi
Alishaachwa kwenye mataa mara mbili!Huyu Dada amezidi Sana, hebu tudadavulie ya kwake maana anaweza kudhani dunia yote ni yake na yeye ni mmoja wa malaika
Basi Ana matatizo ya akili, Na kwa mtindo huo hakuna mwanaume atamudu kuishi nayeAlishaachwa kwenye mataa mara mbili!
Hiyo ni pigo kutoka kwa
Mungu.
Mimi mwenyewe nimecheka ninacheka ,hakikisha unarudi anabahati our the president yuko ubeligiji mbona wangekomaKibatala anamfuata usoni kwake shahidi Kwa Kumkazia macho anamuuliza, Je unafahamau Kuwa mshtakiwa Adamoo anashtakiwa makosa matano na moja la kula njama za ugaidi?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Mimi siye ninaye andaa Mashtaka, Wanaoandaa ni Ofisi ya Mwendesha Mashitaka, mheshimiwa
Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya?
Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sana
Jaji :Jamani tumpatie shahidi hata Dakika 2 Jamani, pale Kizimbani Si Mchezo
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO
Jaji: uende lakini urudi
Mahakama yote inacheka
Nionyeshe mwanamme mmoja tu asiye cheat na Mimi nitakuonyesha wanawake wawili walioolewa na Wana watoto lkn Ni mabikiraMwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Mlugulu msomi nambamoja katika ubora wakeACP au shahidi mwingine? [emoji16]!
Nimeona clip Kibatala akiingia hapo kortini na mabegi ya kuvuta kama anasafiri nikajua mbwembwe tu za mawakili kama ilivyokuwa Kwa Jerry Slaa juzi kwenye wito wa kamati ya maadili.[emoji16].
Kumbe "kazi kazi"
Huyu huwa anapewa bando la kuandika upuuzi kila siku? Inawezekana hii nayo ikawa ajira.kwahiyo tanzania magaidi tuyaangalie tu kisa watafunga balozi zao? mbowe ni gaidi
Kuharisha wewe...Hahahaaaa...... Alienda kusoma kibuti!
Laana ni fikra za kimaskini sana kwa watu ambao hawajajikwamua kiuchumiMimi ninasema laana ndo imesababisha hii kesi impate. Tunaongelea Mbowe. Mimi naingiaje hapa ?
Ipo siku hata wewe utaambiwa gaidi itabidi ukubali ndg!kwahiyo tanzania magaidi tuyaangalie tu kisa watafunga balozi zao? mbowe ni gaidi
Acha kujambajambahUmeanza kuleta taarifa za kipuuzi kiasi hiki? Yaani kukojoa ni jambo la kujadiliwa Jukwaa la siasa JF? Stop this nonsense!
Yeye mwenyewe kaachwa Mara kadhaa, unadhani anajitambua? Hapo alipo ni Nungayembe lililokubuhu,Laana ni fikra za kimaskini sana kwa watu ambao hawajajikwamua kiuchumi
Familia zilizopiga hatua kiuchumi na kusoma hakuna mawazo ya laana
Kila wakati watu ambao wana maisha màgumu na Uchumi haupo sawa wanawaza mambo ya uchawi, laana na kurogwa
Ukipiga hatua mbele kwa kufanya kazi kwa bidii na nidhamu, Unakuwa na aina ya marafiki ambao hata siku moja hutasikia wakiongelea laana na vituko
Kuachana Katika ndoa ni kitu cha kawaida sana
Mfano umeoa mke anataka umle nyuma yaani kwenye makalio na wewe hukujua hayo. Utakubali kila siku unuse mavi ya mkeo maisha yako yote
Watu wana achana kwa mambo mengi hawawezi ongea mbele za watu ni aibu
Huyo ndio RPC Sasa niambie, steshen sajent au coplo atajibuje?Kingai atalivua nguo jeshi la polisi Mana yule ni kiazi kabisa.
Moja kwamoja kunakoelekea wanajikuta nimashahidi wamboweIvi kutenda kosa kwa kujuwa na kwa kutojuwa nako si kosa?
Kama ndivyo, na shahidi nae si mhalifu aunganishwee?
Fanatisim is a straight jacket.Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.