Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
This makes more sense to meUkweli ni kwamba CZ100 Ni Bastola zinazo milikiwa na JWTZ! Sasa ilitokeje Amary? Ndo Maana Mapolisi wanahangaika na A5340 kumficha aliyeitoa ya JWTZ kumbambikia Adamoo.
Huyo si yure makengeza aka Rikamanda Kova??Mzee wa kuchakaza mpaka uchakae?
Inawezekana namba inayoshupaliwa sana ni ya bastola iliyopotea ambayo ilimilikiwa na Hamza.Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.
Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.
Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?
Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukutwa na silaha kinyume cha sheria?
Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?
Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?
Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Hapa simply unamaanisha vitu vidogo tunapewa sisi, lakini vile vikubwa wanapewa wao hata kama haki /sheria haiko upande wao ila kwasababu refa ni wa kwao.Mwenendo na hukumu ya kesi vyote viko wazi.
Mwenendo:
--- hoja zote zisizoathiri hukumu ya kesi ya msingi zitaamriwa in favor ya utetezi.
--- Hoja zote zenye kuathiri hukumu ya kesi msingi zitaamriwa in favor ya mashaka.
--- Hukumu ya kesi ya msingi ipo tayari.
Yote ndio ilikuwa kazi Ao kusingizia majambazi kwa siraha za kubumba.Huyo si yure makengeza aka Rikamanda Kova??
Anita Valerian Mtaro anasema hali ya pale Rau Madukani hali ilikuwa tulivu na hapakuwa na watu mpaka wanaondoka.Kijiko😀😀 mama mbege anasema aliitwa na alikuwa na dada Esther ila mahita kasema kulitokea tafran umati ukakusanyika ndo wakachagua mashahidi.....
Kwamba Kingai na Mahita wanaweza kuona Mpango kabambe wa Ugaidi kulipua vituo vya mafuta na kudhulu viongozi na Hata Usalama wa Taifa wasitonywe??Raisi alitaarifiwa; hapana
DG wa tiss alitaarifiwa; hapana
Igp alitaarifiwa; hapana
RPC dar, arusha, kilimanjaro, mmeanza, morogoro mbeya walitaarifiwa; hapana
RCO wa mikoa husika walitaarifiwa: hapana
Hii kesi ni siri ya kingai na mahita na jumanne na goodluck, ndo maana washitakiwa walitolewa central moshi- dar na kupeleka mbweni Ili kuficha uhuni wao
Kingai wakati wa ushahidi wake alisema Gari lao liliharibika njiani wakakaa kwa muda na kula Nyama choma na Mo energy.Na siyo hilo tuu Mahita yeye amesema hawakuwa grocery wala bar ila walikuwa vibanda umiza... Halafu askari waliofika kukamata ni 6 na wala siyo 5 aliosema muuza mbege... Pia Habari ya kwenda kupata nyama choma na ndizi yeye hajui hiyo [emoji12][emoji12][emoji12]
Kwa hili wewe ndio unayedanganya,majibu yao hayajatofautiaAnita Valerian Mtaro anasema hali ya pale Rau Madukani hali ilikuwa tulivu na hapakuwa na watu mpaka wanaondoka.
Leo.mahita anasema baafa ya kupiga kelele za simama kaa chini watu walijaaa.
🤣🤣🤣
Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.
Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.
Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?
Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukutwa na silaha kinyume cha sheria?
Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?
Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?
Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Mhimili unanajisiwa kwa vyeo vya hisaniHuo upande una wachezaji hadi refa naye anacheza upande huo.
Mengine anasikia yeye tu.
Labda ipo namna anapata japo kwa minong'ono:
View attachment 2000013
Me nilivyoelewa ni kwamba hiyo A5340 ni serial number ya silaha na Cz100 ni model, kwahiyo unapoongelea A5340 unakuwa very specific kwenye hiyo silaha husika ambayo haifanani na silaha nyingine yeyote duniani, Ila ukiongelea Cz100 maana yake zipo nyingi za model hiyo ikiwemo hiyo inayosemwa ni ya Adamoo no.A5340 sasa pengine kuna A5341, A5342 n.k Ni sawa na Corolla TI zipo nyingi ila namba T 123 DUD iko moja tu
Hapa kwa hili inawezekana.Kuna limjaa flan lilikuwa mkoa mmoja una samaki wa maji barid lkn wakubwa! Alikuwa kila akiitisha press kupitia gesh ra porish anakuwa na mabunduki meng meng akidai yalikamatwa wakat wa mapambano na magambaz alikuwa anayaonyesha huku akiwa na glove nyeupe! Ingawa kwa sasa tupo nae pale kwa mkapa kila mech ya ligi! Labda kipind kile aliwah kuitaja hyo namba a ngap ngap cjui! Sasa labda utetez wanajua hyo binduk iliwah kuonyeshwa kwenyd press! Huwez jua
Ni kweli nami naamini jaji ameshaona jamhuri wamepeleka kitu cha hovyo mahakamani, lakini jaji huyo huyo ataamua kesi kwa kuwapa ushindi jamhuri huku akitabasamu, huyu tayari atakuwa ametimiza wajibu wake kwa mabosi wake na sio kwa taaluma yake kama kesi inavyotaka, wakati mwingine nawahurumia mawakili wa upande wa utetezi kwa akili kubwa wanayotumia kushindana na hawa wasanii na genge lao.denooJ, hapa hakuna kesi...
Mwisho wake ndiyo huo na sababu ni hizi;
1. KWA UPANDE WA WAANDAAJI WA IGIZO HILI NA KULIITA "KESI YA UGAIDI WA MBOWE:"
Kuna haja ya kuwa wanarekodi haya mahojiano aisee, kwanza teknolojia imekua sana na pia hii ingeondoa kabisa huu ubishi kwamba mimi nimesikia hivi wewe hujasikia..Huo upande una wachezaji hadi refa naye anacheza upande huo.
Mengine anasikia yeye tu.
Labda ipo namna anapata japo kwa minong'ono:
View attachment 2000013
Not in Tanzania where everybody including a preist and a judge is proud of being a lier.
Ni kweli kabisa...CZ100 ni aina ya bastola tu ambazo ziko zimetapakaa duniani kote, A5340 ni serial number ambayo iko moja tu duniani kote. Serial number ya silaha huwa ni moja tu, hapa ndipo mchezo ulipo.