Kesi ya Mbowe: Namba A5340 kwanini imekuwa issue kubwa?

Ukweli ni kwamba CZ100 Ni Bastola zinazo milikiwa na JWTZ! Sasa ilitokeje Amary? Ndo Maana Mapolisi wanahangaika na A5340 kumficha aliyeitoa ya JWTZ kumbambikia Adamoo.
This makes more sense to me
 
Inawezekana namba inayoshupaliwa sana ni ya bastola iliyopotea ambayo ilimilikiwa na Hamza.
 
Hapa simply unamaanisha vitu vidogo tunapewa sisi, lakini vile vikubwa wanapewa wao hata kama haki /sheria haiko upande wao ila kwasababu refa ni wa kwao.
 
Kijiko😀😀 mama mbege anasema aliitwa na alikuwa na dada Esther ila mahita kasema kulitokea tafran umati ukakusanyika ndo wakachagua mashahidi.....
Anita Valerian Mtaro anasema hali ya pale Rau Madukani hali ilikuwa tulivu na hapakuwa na watu mpaka wanaondoka.

Leo.mahita anasema baafa ya kupiga kelele za simama kaa chini watu walijaaa.
🤣🤣🤣
 
Kwamba Kingai na Mahita wanaweza kuona Mpango kabambe wa Ugaidi kulipua vituo vya mafuta na kudhulu viongozi na Hata Usalama wa Taifa wasitonywe??

Maswali ya Kibatala yalikuwa Muhimu sana kwa Mahita.
 
Kingai wakati wa ushahidi wake alisema Gari lao liliharibika njiani wakakaa kwa muda na kula Nyama choma na Mo energy.

Mahita anasema gari lao halikuwa kuharibika na wala hakuna nyama walizokula njiani.

Mnasema ili nielewe hii kesi natakiw akujua technicalities za mahakama na Degree mbili za sheria??

No way!
 
Anita Valerian Mtaro anasema hali ya pale Rau Madukani hali ilikuwa tulivu na hapakuwa na watu mpaka wanaondoka.

Leo.mahita anasema baafa ya kupiga kelele za simama kaa chini watu walijaaa.
🤣🤣🤣
Kwa hili wewe ndio unayedanganya,majibu yao hayajatofautia
 
CZ100 ni aina ya bastola tu ambazo ziko zimetapakaa duniani kote, A5340 ni serial number ambayo iko moja tu duniani kote. Serial number ya silaha huwa ni moja tu, hapa ndipo mchezo ulipo.
 

Hata kama A5340 ni specific katika kundi la CZ 100, kwanini mashtaka hawataki kukubali kuwa ni CZ 100 pia?

Kwanini ufafanuzi kama wako tu hautolewi kuondoa sintofahamu hii?
 
Hapa kwa hili inawezekana.
Chama changu ccm hili litatuangusha kwani ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo hautaweza kutuweka huru tutarudi ktk zile zama za KUZOMEWA TENA.
Chama kiingilie mapema ndo maana tunamwona Ndugai, Mpina,Msukuma,Polepole wameshaona chama kama chama upepo ushaanza kubadilika.
Upinzani bungeni haupo lakini ndani ya chama na bungeni upo wazi ndo maana gazeti letu la UHURU lilipewa likizo ya kuwa KIGAZETI.
Hii kesi haitatuweka pazuri kisiasa labda tuwe tumekosa hoja kwani kesi inaonekana inavyowatesa mashahidi.

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
denooJ, hapa hakuna kesi...

Mwisho wake ndiyo huo na sababu ni hizi;

1. KWA UPANDE WA WAANDAAJI WA IGIZO HILI NA KULIITA "KESI YA UGAIDI WA MBOWE:"
Ni kweli nami naamini jaji ameshaona jamhuri wamepeleka kitu cha hovyo mahakamani, lakini jaji huyo huyo ataamua kesi kwa kuwapa ushindi jamhuri huku akitabasamu, huyu tayari atakuwa ametimiza wajibu wake kwa mabosi wake na sio kwa taaluma yake kama kesi inavyotaka, wakati mwingine nawahurumia mawakili wa upande wa utetezi kwa akili kubwa wanayotumia kushindana na hawa wasanii na genge lao.
 
Hii kesi haina msingi wowote serikali futeni,shahidi mmoja wapo Ni Afande jumanne ambaye kafukuzwa kazi kwa tuhuma za kumbambikizia mtu meno ya tembo.Aliyetaka kuuawa Ni Sabaya ambaye amefungwa miaka 30 kwa ujambazi was kutumia silaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…