Kesi ya Mbowe Novemba 4, 2021: Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe atoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Novemba 5, 2021


Ikumbukwe kwenye mapingamizi ni uamzi (hukumu) wala si ufafanuzi. Uamuzi wa Jaji ukishatoka iwe umeridhika au hujaridhika ndiyo basi hadi mwisho wa kesi ya msingi.

Kutumia neno ufafanuzi itakuwa ni kusema kwa kumnanga jaji huku ukimwangilia usoni.
 
Kibatala na timu yake wako shallow mno ndiyo maana wanahangaika na trivial na irrelevant matters za kufurahisha genge badala ya kupangua issues
Sasa na wewe bush lawyer mbona unaongea tu bila kutuambia ulitaka apangeje hizo issues kama kweli kuna unachokijua.
 
Mda na gharama za kupambana na mbowe at the watashindwa tu kama alivyoshindwa magu kwann wasiutumie kufikiria vitu vya maana na tija kwa taifa,mfano tatizo la machinga,ajira nchini nk.
 
Sasa na wewe bush lawyer mbona unaongea tu bila kutuambia ulitaka apangeje hizo issues kama kweli kuna unachokijua.
wanajaza booklet tu hakuna point zozote kwenye maswali yao- bure kabisa
 
unaposema washitakiwa walirudishwa mahakamani kinyume na sheria, ni kwamba prosecution walikiuka sheria gani walipowarudisha mahakamani? na una maana sheria haiwaruhusu? funguka mzoefu wa mahakamani.
 
unaposema washitakiwa walirudishwa mahakamani kinyume na sheria, ni kwamba prosecution walikiuka sheria gani walipowarudisha mahakamani? na una maana sheria haiwaruhusu? funguka mzoefu wa mahakamani.

Umejiridhisha na usahihi wa nukuu zako au ni kukurupuka tu?

 
wanajaza booklet tu hakuna point zozote kwenye maswali yao- bure kabisa
Wewe kaa kimya hayo hayakuhusu na hakuna unachokijua kwenye mambo ya sheria, hao ndio wakili wasomi sasa hata hatukujui labda hata ni mshona viatu tu.
 
Wewe kaa kimya hayo hayakuhusu na hakuna unachokijua kwenye mambo ya sheria, hao ndio wakili wasomi sasa hata hatukujui labda hata ni mshona viatu tu.
Niskilize Kibatala hakuna kitu
 
Wewe kaa kimya hayo hayakuhusu na hakuna unachokijua kwenye mambo ya sheria, hao ndio wakili wasomi sasa hata hatukujui labda hata ni mshona viatu tu.
Niskilize Kibatala hakuna kitu
Kwa hiyo unataka wakuajiri wewe. Naona wewe ni "Layman", hujui kabisa yanayoendelea kwenye hiyo fani, afadhali unyamaze tu.
Wakili kama Kibatala hata kama nikiwa Bubu kheri na nitajitetea mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…