Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
unajua maana ya hacking?Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana
Nenda zako huko wewe..unajua maana ya hacking?
Yule mrembo wa Airtel amekula kona kali,...ilibidi aingie 'period' kabla ya wakati kwa hofu... Naye ni wakili msomi. Nadhani aliona kaka yake wa tiGO alivyopelekeshwaSawa tuko pamoja nasikia leo shihidi anatoka Airtel
Chaggadomo bana 🤣🤣🤣Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
==============
Ndiyo upopoma wenyewe huu,jibu swaliNenda zako huko wewe..
Yupo maaoezini🏃.Leo ussain bolt sijui atakimbia tena?
Yaani unajitoa ufahamu kwa buku 7 tuKwa hiyo unamaanisha hili jukwaa nilakutetea viongozi wa chadema na chadema ..hata kama ni wahalifu..
Yuko sahihi... Wewe mtoto wa mwisho ulimzalia leba ya wapi Mkuu?
Kuandika ujinga mpya kila siku ni kazi ngumu sana, muache tu apaste mkuu.Kwani lazima upaste hii comment kwenye kila uzi? Acha undezi dogo
Yaani huu ni upuuzi mtupu.. Mambo ya isidingo haya.Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
==============
Jaji ameingia.
Kesi inatajwa
Robert Kidando anatambulisha Jopo lake
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige
Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi
Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea
Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata
Jaji: upande wa Utetezi
Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi Wenu?
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda
Jaji: Majina yako
Shahidi: SSP Sebastien Madembwe
Jaji: umri
Shahidi: 46
Jaji: Kabila
Shahidi: Mhehe
Jaji: Shughuli zako
Shahidi: Afisa wa Polisi
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkrito
Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla
Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani
Shahidi: SSP sebastian Madenge
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma
Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini
Shahidi: Mwezi wa Nane 2020
Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi
Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Uliajiliwa lini kama Polisi
Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999
Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani
Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai
Wakili wa Serikali: Kitengo Gani
Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha
Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje
Shahidi: Arms Management and Registration Unit
Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini
Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini
Shahidi mfupi amevaa kaunda😀😀Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
==============
Jaji ameingia.
Kesi inatajwa
Robert Kidando anatambulisha Jopo lake
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige
Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi
Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea
Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata
Jaji: upande wa Utetezi
Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi Wenu?
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda
Jaji: Majina yako
Shahidi: SSP Sebastien Madembwe
Jaji: umri
Shahidi: 46
Jaji: Kabila
Shahidi: Mhehe
Jaji: Shughuli zako
Shahidi: Afisa wa Polisi
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkrito
Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla
Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani
Shahidi: SSP sebastian Madenge
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma
Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini
Shahidi: Mwezi wa Nane 2020
Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi
Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Uliajiliwa lini kama Polisi
Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999
Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani
Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai
Wakili wa Serikali: Kitengo Gani
Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha
Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje
Shahidi: Arms Management and Registration Unit
Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini
Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini
Mods na hawa ni kundi moja.Mods wanawalea wapuuzi kama hawa ambao kazi waliyopewa huko Lumumba ni kuja kuvuruga mijadala kwa kuweka comments zao za kipumbavu
Mbona imeishia hapa?Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
==============
Jaji ameingia.
Kesi inatajwa
Robert Kidando anatambulisha Jopo lake
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige
Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi
Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea
Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata
Jaji: upande wa Utetezi
Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi Wenu?
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda
Jaji: Majina yako
Shahidi: SSP Sebastien Madembwe
Jaji: umri
Shahidi: 46
Jaji: Kabila
Shahidi: Mhehe
Jaji: Shughuli zako
Shahidi: Afisa wa Polisi
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkrito
Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla
Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani
Shahidi: SSP sebastian Madenge
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma
Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini
Shahidi: Mwezi wa Nane 2020
Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi
Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Uliajiliwa lini kama Polisi
Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999
Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani
Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai
Wakili wa Serikali: Kitengo Gani
Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha
Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje
Shahidi: Arms Management and Registration Unit
Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini
Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini