Kesi ya Mbowe Novemba 4, 2021: Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe atoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Novemba 5, 2021

Khaaa! Ina maana wakili wa tigo ndio kaumwa mazima haji kuendelea kutoa ushahidi?

Maana naona kuna mtu mpya hapa
 
Hii kesi inavyoendelea upande wa serikali wamebaini upande wa utetezi wamejipanga sana.
Ni tofauti na walivyokua wakidhani.

Jinsi kesi inavyoendelea wanazidi kubaini wamekurupuka.

Shahidi jana kutofika ni moja ya dalili.

Ngoja tuone leo.
Ni aibu sana na inashangaza na kufikilisha ni kipi kiliwapa jeuri IGP na Samia kuizungumzia hii kesi kua ushahidi wanao..

Hiki kinachoendelea kitakua kinawatesa sana
 
Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana

Mnasumbua tu mahakana
Binafsi nmekuelewa
 
Huyu kama ni gaidi ni mtu hatari kwa usalama wa taifa.Hukumu yake itekelezwe kuepusha mauaji na uvunjifu wa amani nchini na iwe funzo kwa magaidi wote.
 
Jua kali sana viwanja hivi vya mahakama.
Tanzania ridhiki hutolewa na CCM by Mikila
 
Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana

Mnasumbua tu mahakana
Kichwa maji sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…