Yaani kila nikipata nafasi ya kukwepa KODI ya serikali nitafanya hivyo.Haiwezekani nikupe Kodi inayoenda kuharibiwa hivi.Yaani nimeumia yule Shahidi ANITHA (Muuza Mbege) kuja Dsm ana Kula na kunywa bure kule MASAKI Kwa Kodi yangu halafu anakuja kutoa ushahidi wa Uongo.hawa askari walikuwa wanatunga hadithi ambayo ilikosa uhariri......project ya hovyo kabisa....kibaya sana WANACHEZEA FEDHA ZA WANANCHI WAZI WAZI.....TUNAKATWA MITOZO wanachezea fedha kulipana lipana kwenye kesi ya maigizo
Awabariki wakina nani johnthebaptist .Mungu wa mbinguni awabariki!
Unasokonyoa sana sijui kama nipo sahihi ila You are probing so muchHuyo Shahidi SSP MADENGE tayari ni muongo,hawezi kuwa aliajiriwa 2/9/1999(hakukuwa na Depo CCP iliyomaliza Mafunzo tarehe hiyo)
Nakumbuka 1998 jamaa zangu wengi niliomaliza nao six walijiunga na Jeshi hili, hivyo siamini kama 99 kukikuwa na ajira tenaHuyo Shahidi SSP MADENGE tayari ni muongo,hawezi kuwa aliajiriwa 2/9/1999(hakukuwa na Depo CCP iliyomaliza Mafunzo tarehe hiyo)
Ulizaliwa kwa bahati mbaya sana.Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana
JAJI nae kaingia mitini?Jaji: Mmesikia hoja zote, Naomba nipate muda na mimi Tutarudi tena hapa saa tano na robo. Anasimama na kutoka nje ya chumba cha mahakama
Wacha matusi watu wanatengeneza mudaJAJI nae kaingia mitini?
Pole mkuu. Chuki siyo mwarobaini ya matatizo uliyonayo. Kesi inaendelea.Wamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana
kupotezeana muda tu kaka, nasikia shahidi wa jana akaona hawezi kushiriki dhambi akakubali liwalo na liwe, kawagomea macho makavuu.Mashahidi 24 si mchezo
Jamuhuri inataka kufanya uhuni. Pamefika Patamu kufahamu kama Jaji amewekwa kimkakati ama laaBaada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami...
Hata sijaelewa, anyway hayaWacha matusi watu wanatengeneza muda
Me nakumbuka bro wangu ambae kwa sasa ana cheo cha ACP alimaliza depo mwezi 12 mwaka 1999,ilikua depo moja na huyu afande hamduni wa takukuruHuyo Shahidi SSP MADENGE tayari ni muongo,hawezi kuwa aliajiriwa 2/9/1999(hakukuwa na Depo CCP iliyomaliza Mafunzo tarehe hiyo)
Madenge au Madembwe?Huyu Madenge naye anaingia 'kikaangoni'.
Tayariiii[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Shahidi SSP MADENGE tayari ni muongo,hawezi kuwa aliajiriwa 2/9/1999(hakukuwa na Depo CCP iliyomaliza Mafunzo tarehe hiyo)