Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Mbatia kwa Rais Samia

Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Mbatia kwa Rais Samia

Sukuma gang itakuambia hayo ya Mbatia ni ukaskazini na ukabila.

Sidhani mkuu. Hii ni kesi ya mapolisi, makarao na wa namna hiyo.

Hata huko CCM mbona nao wana mawazo kama Mbatia tu? Vinara wao wakiwamo kina johnthebaptist wamejitanabaisha hivyo kwa maneno na vitendo.

Wanasisitiza - Maendeleo hayana Chama!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Sidhani mkuu. Hii ni kesi ya mapolisi, makarao na wa namna hiyo.

Hata huko CCM mbona nao wana mawazo kama Mbatia tu? Vinara wao wakiwamo kina johnthebaptist wamejitanabaisha hivyo kwa maneno na vitendo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
johnthebaptist ni mpatanishi kati ya CDM na MATAGA humu JF. Ingawa ni indirectly, lakini anajitahidi sana kubalance mambo. Mungu aendelee kumjalia hii karama ya upatanishi kuponya nchi.
 
mbatia hana jipya anamtetea mchagga mwenzie mbona masheikh waliwekwa ndani miaka 8 mbatia alikuwa wapi mpuuzi tu huyo
 
Mbaya zaidi hii keshi ya Mbowe imeshusha sana heshma za Mahakama zetu pamoja na Majaji. Majaji mara nyingi wamekuwa kimbilio la haki ila sasa wanaonekana sehemu ya ufedhuli na ubaradhuli. Mungu tuepushe na hiki kikombe.
 
Ukiliwazia sana hili jambo linalomhusu Freeman Mbowe unashindwa kuona mwanga wa sababu ya yanayoendelea, inakua kama kuna hisia za chuki binafsi. Seems as if there is an old personal issue between Mbowe and the President. Huyu Mama hakuna aliyemtegemea kuwa Raisi, nahisi kuna waliowahi kumkejeli huko nyuma sasa huwezi jua neno lilimfikia likiwa limekorogewa sumu gani. Maana sisi waswahili na sisi, mhh..... Maana najiuliza kwanini watu wengi namna hii na hata dunia nzima inahoji hili jambo lakini haileti badiliko lolote? There is something wrong somewhere!
 
Ukiliwazia sana hili jambo linalomhusu Freeman Mbowe unashindwa kuona mwanga wa sababu ya yanayoendelea, inakua kama kuna hisia za chuki binafsi. Seems as if there is an old personal issue between Mbowe and the President. Huyu Mama hakuna aliyemtegemea kuwa Raisi, nahisi kuna waliowahi kumkejeli huko nyuma sasa huwezi jua neno lilimfikia likiwa limekorogewa sumu gani. Maana sisi waswahili na sisi, mhh..... Maana najiuliza kwanini watu wengi namna hii na hata dunia nzima inahoji hili jambo lakini haileti badiliko lolote? There is something wrong somewhere!
Rais wetu kama laiti angekuwa na hekima, japo ndogo sana, asingeruhusu kesi za kutengenezwa kama hizi ziwepo kwenye utawala wake.
 
mbatia aache unafiki, Kuna mashekhe wa uamsho wengine mpaka leo bado wapo ndani,mbona hakutoka nje aongelee hili, leo huyu mpuuz mmoja kaswekwa ndani kwa kuleta taharuki ametoa pua yake kwenye media,angekuwa mtetez Basi angebalance hapo tungemuelewa, otherwise ni utopolo tu !!
 
mbatia aache unafiki, Kuna mashekhe wa uamsho wengine mpaka leo bado wapo ndani,mbona hakutoka nje aongelee hili, leo huyu mpuuz mmoja kaswekwa ndani kwa kuleta taharuki ametoa pua yake kwenye media,angekuwa mtetez Basi angebalance hapo tungemuelewa, otherwise ni utopolo tu !!

Makarao na mapolisi wanayo mawazo kama yako. Hauko peke yako.
 
Back
Top Bottom