Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Acheni uzwazwa Mbatia laishazungumzia kuhusu Mashekhe zaidibya mara 2mbatia aache unafiki, Kuna mashekhe wa uamsho wengine mpaka leo bado wapo ndani,mbona hakutoka nje aongelee hili, leo huyu mpuuz mmoja kaswekwa ndani kwa kuleta taharuki ametoa pua yake kwenye media,angekuwa mtetez Basi angebalance hapo tungemuelewa, otherwise ni utopolo tu !!