Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Mbatia kwa Rais Samia

Acheni uzwazwa Mbatia laishazungumzia kuhusu Mashekhe zaidibya mara 2
 
Hiyo nayo haina tijaπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Haha brazaj πŸ‘£πŸ‘£πŸ‘£πŸ‘£

Pole hutaki, hongera nayo haina tija.

Hapo sasa si ndipo mabaharia wanaposhindwa kuelewa ... πŸ™„πŸ™„
 
Utoto unakusumbua nan alieongoza maandamano ya kinondon???
 
Mbaya zaidi hii keshi ya Mbowe imeshusha sana heshma za Mahakama zetu pamoja na Majaji. Majaji mara nyingi wamekuwa kimbilio la haki ila sasa wanaonekana sehemu ya ufedhuli na ubaradhuli. Mungu tuepushe na hiki kikombe.
Kwa msukumo wa muhimili uliojichimbia chini, hukumu zinatoka kwa maelekezo kutoka juu
 
Mjamaa wa wapi huyu mganga njaa tu, toka lina wajamaa wanaiba kura na kununua wapinzani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…