Kesi ya Michael Clifford dhidi ya Tigo ni mkakati, kuna jambo zito ndani yake

Kesi ya Michael Clifford dhidi ya Tigo ni mkakati, kuna jambo zito ndani yake

Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Umeandika UTOKO
 
Mi nadhani tusikimbilie kusema mabeberu, walioomba namba yawezemana wakawa wahuni fulani tu wakitaka kuichafua serikali yaani waliwekeza hicho kitu. Naamini kabisa serikali ingetaka kumuua Lisu wasingetumia hiyo mbinu ya kitoto kiasi hicho.
Duuh kama ndo tuna serikali ya Hivi huoni kuwa ni hatari mkuu? Yaani wahuni wawe wanajiamria tu kuwa tumuue fln Wala serikali haijari!!

Kama serikali haikuhusika Kwa namna Moja ama nyingine Kwa kosa kubwa kama lile kwanini isipambane usiku na mchna kuwabaini hao wahuni?
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Endelea na hisia zako watu watakuona wa kukurupuka hi ngoma ni toka 2019,vyovyote vile haki ya mtu haipotei tuko na LISU ni mtanzania mwenzetu
 
Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.
We chawa;
Kuhusu Comparison ya tukio la Chacha wanwe na la Tundu Lissu kupigwa Risasi uelewe kuwa Kosa halihalishi kosa, hata hilo la Chacha wangwe kwa muda wake linaweza kuabza upya, jikumbushe Jinai haina ukomo wa muda.

Kuhusu ushahidi unaotaka kuhusu tukio la Tundu Lissu ni upi, ninyi kama seriklai wenye dhamana na nguvu ya kila aina mnashindwa nini kubaini tu wale waliong'oa camera? baadhi yenu wenye nguvu mnahusika.
 
Asante sana, halafu wengine waje kusema kwamba sijui sovereignty, sijui madudu gani , wakati reasoning yote imetolewa kwenye hizo documents kufikia kwa kesi hii kuwa Public
Yes, mmoja amesema eti kesi iliamliwa baada ya maandamano ya Jumatatu Septemba 23, 2024 na kama unavyojua, akaanza ku'speculate' mambo yasiyokuwepo. Na watu ni wajuzi sana kwa kupika uwongo. Sasa nimeweka hizo kesi mbili ili athibitishe kama anaongelea jambo lile lile linalotokana na press conference ya Tundu Lissu jana au ni tofauti.
 
Mi nadhani tusikimbilie kusema mabeberu, walioomba namba yawezemana wakawa wahuni fulani tu wakitaka kuichafua serikali yaani waliwekeza hicho kitu. Naamini kabisa serikali ingetaka kumuua Lisu wasingetumia hiyo mbinu ya kitoto kiasi hicho.
Kwa hili naungana na wewe serikali ingetaka kumuua ingetumia mbinu kama iliyotumia kumteka mzee Kibao ikamwagia tindikali kumtoboa macho ikamuua kisha ikamtupa ununio.
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Unakaa unatunga uchafu mwiiingi sijui nani ausome!?!
Bora ungetuma picha unakata gogo kuliko maujinga kama haya...
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Yaaaaawn 🥱🥱🥱anayelewa hii novel inatufundisha nini anijuze.
Moja tuu kampuni aliyokuwa anaitumikia ya Tigo ilikuwa inamilkiwa na Millcom sasa ishauzwa na haipo Tanzania ipo Uingereza ataishitakiaje kwa Prof Juma?
 
amani tulionayo watanzania tukifanya mchezo hivi vyama vya upinzani vinavyotumika na mabeberu vinakwenda kuitia doa
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Haiwezekani kesi ifunguliwe halafu isikilizwe siku hiyo hiyo.. hayo yaliyokuwa revealed ni kwa sababu kesi imefikia hatua ya hearing.

Tafuta uongo mwingine
 
KESI hiyo imefunguliwa 2019,tigo kipindi chote hicho mahakama ilivyoamuru kusikiliza

Tigo waliomba isikilizwe kwa Siri ,kutoka 2019 kulikuwa na mvutano njia ipi itumike

Baada ya hukumu kutolewa KESI imeamuliwa isikilizwe kwa uwazi kwakuwa inamaslahi na umma

Inakuwaje useme KESI imefunguliwa Juzi wakati imefunguliwa miaka miwili Toka LISu apigwe risasi
 
Aondoke nchi ishamshinda Mda tu, hizo zingine ni propaganda.

Kwani lazima aendelee wakati kila kitu kinaonekana dhahiri uwezo mdogo ...

Tunataka Ikulu yetu wake wenye brains Na si grains
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Uhai kwanza , wahalifu washughulikiwe
 
Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.

Habari za uchunguzi zinasema, kufunguliwa kwa kesi ya madai nchini Uingereza inayomhusu raia wa nchi hiyo Michael Clifford, dhidi ya kampuni ya simu za viganjani ya Tigo, ikiwa ni miaka saba tangu alipofukuzwa kazi na kampuni hiyo, ni ishara tosha kwamba, mataifa ya Magharibi yameandaa mkakati mchafu kuhakikisha vurugu zinatokea Tanzania.

Wachunguzi wa masuala ya usalama wanahoji ni kwa vipi kwa miaka yote saba Clifford hakuwahi kufungua mashtaka halafu aje afungue siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi kuyazima maandamano yaliyoandaliwa na Chadema.

Gazeti la The Guardian la Uingereza liliripoti Jumanne, Septemba 24, 2024 kwamba, Clifford anadai kuwa kampuni ya Tigo ilitoa taarifa za simu ya Tundu Lissu kwa Serikali siku kadhaa (miezi michache) kabla ya kupigwa risasi jijini Dodoma Septemba 2017.

Clifford anadai kuwa baada ya kuhoji mwenendo wa Tigo, ndipo akafukuzwa kazi na Kampuni ya Tigo, hivyo amefungua kesi nchini Uingereza akidai kuwa yeye alitendewa ndivyo sivyo na Kampuni ya Tigo.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wameeleza kwamba, huo ni mkakati uliosukwa na mabeberu kufungua kesi hiyo Uingereza badala ya Tanzania ambako ndiko tukio lilikotokea, lakini ikiwa ni wiki mbili tu tangu Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada wanaoziwakilisha nchi zao, kutoa tamko la kulaani vitendo vya utekaji nyara na mauaji vinavyotokea nchini.

Inaelezwa kwamba, kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kukemea hatua ya Mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi, huku Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akisisitiza kwamba ataendelea kusema kwa uwazi, kikiunganishwa na maandamano yaliyofeli kinazaa uhakika wa uwepo wa njama hizo chafu.

Mnamo Septemba 10, 2024, Mabalozi nchi 16 walitoa tamko la kuonesha kuèsikitishwa na matukio ya ukatili, kupotea kwa watu na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za kibinadamu nchini Tanzania.
Balozi zilizotoa tamko hilo la pamoja ni Ubelgiji, Uingereza, Canada, Denmark, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Hispania, Sweeden na Uswisi. - “Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa,” ikaeleza taarifa hiyo.

“Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais DKt. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa ‘4R’, na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujielekeza.”

Na Septemba 20, 2024, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle, akasisitiza kwamba hataacha kuzungumzia masuala ya demokrasia na haki za binadamu kinyume na alivyoagiza Rais Samia.

Septemba 17, 2024, Rais Samia alijibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, aliwashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya wakuu wa nchi zao, huku akiahidi kuwachongea kwa marais wa mataifa husika kwa kuiingilia Tanzania.

“Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya ndani ya nchi yetu, tuna Katiba, sheria, miongozo, mila na desturi zetu zinazotuongoza nini cha kufanya kwenye nchi zetu,” amesema.

Rais Samia amesema aliapa kuilinda na kuitetea nchi na kwamba atafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi wa maisha na uhai wa Watanzania kwa kuwa ni jukumu lake na kwamba hahitaji kuelekezwa na mtu yeyote cha kufanya kwa sababu Katiba ya Tanzania ina maelekezo ya jinsi ya kuendesha Serikali. - “Wengine wanapotaka kuonyesha huruma yao basi tunawasihi wafanye hivyo kwa kufuata makubaliano ya mahusiano kidiplomasia ya kimataifa kama ilivyoelezwa kwenye Vienna Convention on Diplomatic Relation la 1961.

“Lile tamko lililotoka na kuambiwa tufanye moja mbili tatu, sisi tunajua cha kufanya kama Tanzania kama nchi yetu. Na ni imani yangu kwamba tamko lile lililotolewa si maelekezo ya wakuu wa nchi huko walikotoka,” akasema.

Tukio la Clifford kufukuzwa kazi lilitokea mwaka 2017, tukio la Lissu kupigwa risasi lilitokea mwaka huo huo 2017 na lilivuta hisia za jumuiya za kimataifa, kwa nini kama kulikuwa na kitu kama hicho hakuweza kujitokeza walau kusema ukweli, achilia mbali kufungua kesi ya madai kupinga kufukuzwa kwake.

Cosmas Msengezi anasema, kuingilia mawasiliano ya watu na mtu kupigwa risasi ni vitu viwili tofauti, kwani yawezekana (kama ni kweli) Serikali ilitaka kujua mienendo ya Lissu tu hasa kutokana na kuwepo kwa madai ya kuvujisha siri za nchi kwenda kwa mataifa ya nje, kipindi ambacho Serikali ilikuwa imezuia makinikia kusafirishwa nje ili kudhibiti wizi uliodaiwa kufanywa na wachimbaji wakubwa wa madini.

Amesema, Mataifa ya Magharibi ndiyo yanayoongoza kudukua taarifa za mataifa mengine, zikiwemo za watu binafsi, kama ilivyotokea kwa aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hilary Clinton, ambaye kudukuliwa kwa taarifa zake kulichangia kuukosa urais Marekani.

“Suala la kupigwa risasi linahitaji ushahidi usio shaka, huenda hata waliomshambulia Lissu ni watu wengine kabisa, au tukahisi walitoka ndani ya Chadema, kwa sababu hata tukio la mauaji ya Chacha Wangwe lilikuwa na mashaka pia.

“Ieleweke pia kwamba, mauaji yanatokea kila sehemu duniani, mfano Mei 4, 2022 Mtanzania Rogers Kyaruzi (30) aliyehamia Marekani akiwa mdogo, aliuawa kwa kupigwa risasi na Polisi huko Atlanta, Georgia, katika tukio la bahati mbaya wakati akikaidi amri ya polisi,” akafafanua Msengezi.

Msengezi anaongeza kwamba, raia wengi wa Tanzania wameuawa kiajabu ajabu nje ya nchi, hususan Marekani na Uingereza, lakini hata siku moja mataifa hayo hayajawahi kuhusisha uchunguzi huru kutoka nje.

Aidha, wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wanasema, kufuatilia taarifa za watu wanaohisiwa kuvujisha siri za serikali nje ya nchi kinyume cha sheria ni mambo yanayofanywa na karibu serikali zote ulimwenguni, huku wakitoa mfano wa Edward Snowden, ambaye mwaka 2013 alivujisha siri za kiusalama za Marekani na kukimbilia Urusi.

Kinachotokea...

Kinachotokea sasa kinaonekana kama ni mkakati wa siri wa kushinikiza machafuko ambapo wanasiasa na wanaharakati wa kisiasa wanaonekana kupewa maelekezo maalum na ndiyo maana wamekuwa wakikaidi na kuvunja sheria.

Baada ya kushindwa kwa maandamano, na kuibuka kwa suala la Lissu, inaelezwa kwamba, mabeberu sasa wanataka kuchochea ili wananchi wahamishe hisia zao kwenye mambo yanayowahusu, ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Taarifa za uchunguzi zinaeleza kwamba, wakati uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, badala ya kuwaandaa wanachama wao watakaoviwakilisha, vyama vya upinzani nchini vinaendelea kuibuka na agenda za kuitingisha serikali.

Mbinu hiyo, kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi, inalenga kuichokonoa serikali ili ichukue hatua ya kuwakamata wanasiasa wa upinzani na kuwafungulia mashtaka kama ilivyotokea, au hata kutaka polisi itumie nguvu kuwapiga watu nao wapate cha kukisemea kwa mabeberu wanaowapa maelekezo.

Kama itatokea hivyo, kulingana na taarifa hizo, wapinzani wamepanga kususia tena uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ilivyokuwa mwaka 2019, ambapo kisingizio chao kilikuwa kupinga kukandamizwa na kupinga viongozi wao kushtakiwa.

“Haya ndiyo yanayopangwa kwa sasa, hata Jumatatu mabeberu na vibaraka wao walitegemea kuona watu wakipigwa virungu, lakini haikuwa hivyo, ndipo sasa mabeberu wameamua kuibua hoja ya Lissu, wakiamini kwamba ‘kukwangua kovu kwa nguvu kunaweza kuzaa kidonda’ na hoja hiyo itapata wafuasi,” anasema Ikram Mohammed Ulotu.

- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Comic artist JaeHoon Choi creates inky work full o.jpeg
 
Back
Top Bottom