YONASHA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 504
- 1,167
Hiii nchi ya kupumzika sana,,,,Kuibuka kwa suala la Tundu Lissu kupigwa risasi siku moja baada ya kuzimwa kwa maandamano ya Chadema kumetajwa kwamba ni sehemu ya njama chafu zinazofanywa na mabeberu na vibaraka wao kuleta machafuko na kuvuruga amani ili nchi isitawalike.
Watu mnafanya ujinga na upuuzi mnatafuta pa kujifucha,,,,,( mabeberu) …..
Shame on you all( sisiemu)