Kesi ya Michael Clifford dhidi ya Tigo ni mkakati, kuna jambo zito ndani yake


Hizi Kesi mbili unazizungumziaje?
 

Attachments

Stupidity
 
Hamuwezi kumsafisha ubongo kila mtu
Kikubwa waliompiga risasi tuwajue.
Tanzania yetu hii ni nchi
kabla ya watu wasiojulikana
 
Acha ujinga, kesi ilifunguliwa tangu 2019. Mbona mnapenda kupotosha??
 
Kwa miaka 3 ili mafuvu ya jamii yarudishiwe akili
 
Wewe hujamwona Waziri wako wa afya akijigaragaza mavumbini kama shukrani kwa Mama kapeleka miradi huko Ruvuma.

Huyu ni Waziri ana level hiyo fikiria mtu wa kawaida balozi wa nyumba kumi au mwendesha bodaboda atakuwa na akili za namna gani.
 
Kesi imefunguliwa lini?
 
MIMI BABA YENU...huu wangu ni ushauri tu, unaweza kuupokea au unaweza kuutupa kapuni. Kwa haya uliyoandika kama nia ilikuwa ni kuisafisha serikali, hapa umezidi kuitumbukiza kwenye tope bila kuiachia hata katundu ka kupumulia.

Inawezekana wewe ni baba kweli kama unavyojiita lakini nakushauri kwa haya uliyoandika chutama na utuombe sisi wana JamiiForums radhi kwa kutudhalilisha. Tofauti na vyombo vingine this is a forum for Great Thinkers...pole sana!
 
Bullshit andiko lako linatetea nn watu kuuwawa au linatetea serikali, andiko linaluka Luka kama maharage mabichi
 
Huna lolote.
Yaani mmatumia amani ya nchi kuua wstu halafu watu wakilalamika mnakimbilia kuwa wanavunja amani.

Bado kuna kesi kibao na kibano kinakuja
 
Tutafungua kesi dhidi ya serekali na tigo huko ughaibini. Tukishinda kesi tunatakiwa kulipwa mabilioni, serekali yenu ikikaidi tutazuiwa Mali za serekali popote duniani ili tumlipe tundu Antipas Lissie

Sasa nyie uvccm kazana kuandika utumbo lakini hela mtaitoa kwa lazima
 
Lugha ya malkia ni shida sana kwa wahitimu wa shule za kata.
Michael Clifford amefungua kesi juzi?
 
Yaani umetumia masaa na siku kuandika andiko refu sana huku ukitumia wrong missmatch ya tarehe ya tukio na tarehe ya kufungua kesi kama foundation framework ya andiko lako kama foundation framework ya kujenga hoja yako, kumake a case.

Sasa kwa kutumia concept ya theories based approaches in drafting proposal /research/design interventions/in evaluation inasema incase you use a wrong construct in a theory or use a wrong theory as your foundation framework in your proposal (imepitwa na wakati, umekosea correct interpretation ya theory/construct) basi whatever conclusion you wil be making are wrong, whatever suggestions/recommendations you will be making are wrong, non valid even if the approaches was correct.

Sasa mwandishi katumia wrong mismatch ya time ya tukio na time ya kufungua kesi kama foundation framework ya andiko lake reeeeefu balaa. Maana yake vyote alivyoandika ni non valid, ni wrong. Alitakiwa afanye uhakiki wa hiyo framework yake kabla ya kuitumia. Kwa sentensi fupi unapokosea msingi wa nyuma (foundation) , lazima ujue chochote utakachokisimamisha hapo kimekosewa. Na mara nyingi naona hata humu ndani ya jamii forum watu wakifanya makosa makubwa kama haya.
 
Mleta mada naona alisha wahi kukaaa kwa P diddy ndo maana akili zake zimekaa kama mpakwa mafuta ya watoto 😎
 
Hakuna mkakati wowote ule uwongo wa vita ya kiuchumi sijui blahblah siku hizi information ziko wazi sana huwezi kudanganya wananchi korahisi.

Gods time every evil spirit will be exposed, Wahusika wakiri tu wasamehe maisha yasonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…