Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

si kweli, umewaza kibinafsi sana, huwezi ukaiingia kichwakichwa kwenye mto ukiwa unavuka na usichukue tahadhari ikiwa kuna mamba au la.

dr. Likwelile hakuwa raia wa kawaida, alikuwa katibu mkuu wizara ya fedha na mhadhiri mwandamizi wa uchumi UDSM. Ukizingatia kuwa hata Vicky kamata ni msomi wa kiwango cha digrii ya uzamili (kama nakumbuka vizuri) alipaswa kujua marital status ya likwelile.

Na katika hali ya kawaida, mwanaume au mwanamke wakikutana kwa mara ya kwanza hicho ndicho huwa kitu cha kwanza kuuliza.
... uko sahihi kabisa. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwepo trusted source kujiridhisha haya mambo maana uongo umekuwa mwingi sana - wawe wasomi, wsiosoma, maskini kwa matajiri waongo wamo. By nature, ilikuwa rahisi kwa Dr. Likwelile kumlaghai Vicky kuliko kinyume chake.
 
... uko sahihi kabisa. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwepo trusted source kujiridhisha haya mambo maana uongo umekuwa mwingi sana - wawe wasomi, wsiosoma, maskini kwa matajiri waongo wamo. By nature, ilikuwa rahisi kwa Dr. Likwelile kumlaghai Vicky kuliko kinyume chake.
.....na kuharakisha mambo ni hatari sana, unaweza ukajikuta unafumaniwa na mwenye mzigo wake kwa sababu ulikuwa na haraka ukaamini kila ulichoambiwa.
 
.....na kuharakisha mambo ni hatari sana, unaweza ukajikuta unafumaniwa na mwenye mzigo wake kwa sababu ulikuwa na haraka ukaamini kila ulichoambiwa.
... you are absolutely right. In that sense kwa kuwa kwenye mahusiano mwenye chance kubwa ya kuya-dictate ni mwanaume most likely Likwelile ndiye aliyemtapeli mwenzake akijua fika ana ndoa.
 
... you are absolutely right. In that sense kwa kuwa kwenye mahusiano mwenye chance kubwa ya kuya-dictate ni mwanaume most likely Likwelile ndiye aliyemtapeli mwenzake akijua fika ana ndoa.
...na mwanamke pia inawezekana alifanya yake ukizingatia profile ya mzee haikuwa ndogo. Najiuliza hata huyo pasteri wa hilo kanisa la deliverance blah blah blah huko Arusha walikofungia ndoa, hakuwahoji hilo jambo au alipofushwa macho kwa mlungula!!
 
Na ndoa ya Chet Cha Rita kuangalia kumbukumbu hakuna alifoji vyet vya ndoa, Chet Cha mkewe matehemu kimeletwa ndio og.
Mkuu kufoji nyaraka ni kosa kisheria kwanini mpaka muda huu hajashtakiwa kwa kosa la kufoji cheti cha ndoa?
 
Kaanza kudanga kitambo sn itakuwa ni lake, nasikia amezaa na Padre huko Geita kabla ya kuwa mbunge wa mchongo kwa kupigwa miti na JK kama sikosei
Ndiyo maana alikuwa ana mchukia Dikteta Magufuli , kumbe ni mwanamke tapeli na fisadi itakuwa kweli kila aliyemchukia Magufuli huyo ni fisadi na Tapeli.
 
... sio tu kusajili ila pia RITA wawe na huduma ya wananchi kukagua vyeti vya ndoa (of course kwa utaratibu maalumu). Mfano, huduma hiyo ingekuwepo, Vicky angeweza kwenda kukagua kama Dr. Likwelile aliwahi kuwa na ndoa na kama bado iko hai. Ingesaidia sana.
Angemuomba Chet Cha ubatizo, lazima kwa waroma kinapelekwa kinajazwa pia sehemu ya ndoa, au angepekua angekiona ndani, Kama kimejazwa sehemu ya ndoa, lakini kwa umri wa yule bwana lazima kuwa na ndoa, alijua Ila alicheza nafasi yake.
 
Angemuomba Chet Cha ubatizo, lazima kwa waroma kinapelekwa kinajazwa pia sehemu ya ndoa, au angepekua angekiona ndani, Kama kimejazwa sehemu ya ndoa, lakini kwa umri wa yule bwana lazima kuwa na ndoa, alijua Ila alicheza nafasi yake.
... wewe umenielewa! Dr. Likwelile alitaka tu kumchezea huyo binti.
 
Ndiyo maana alikuwa ana mchukia Dikteta Magufuli , kumbe ni mwanamke tapeli na fisadi itakuwa kweli kila aliyemchukia Magufuli huyo ni fisadi na Tapeli.
Mi nilikuwa namchukia Magu sijawahi kuiba hata kijiko cha chai, tatizo ni ule katili wake
 
Muhuni tu yule mzee .kamdhulumu dada wa watu
... la muhimu ashukuru kama hajaachiwa mambo mengine; mali ata-fight atapata. Kuonekana kwa Mchungaji akifunga ndoa huku akijua ameficha cheti cha ndoa Dr. alitapeli pakubwa.
 
Ndio shida ya wanawake wengi, hawajui kula na vipofu, yaan angejipendekeza kwa watoto yasingetokea haya
Kweli mtoto ni bonge la gia la kufanya mambo yako kwa urahisi,hata ukimtaka single Mom wwe jipendekeze kwa mtoto wake, na mtoto akisha kukuelewa tu,basi na mama nae anakuachia goli kiuulaini unafunga mabao yako unayoyataka!!
 
Back
Top Bottom