Kesi ya Raila Odinga ya Uchaguzi...

Mkuu Kiranga

Nijuavyo mimi Uhuru hawezi kuapishwa mpaka kesi ya msingi itakapoamuliwa na supreme court nipo tayari kusahihishwa.Nadhani kuna muda wa siku 14 kesi itatakiwa kusikilizwa na kutolewa hukumu.Ngoja niwaite magwji wengine wa katiba ya Kenya wanaweza kutusaidia zaidi ukwelikitugani Ab-Titchaz


 
Last edited by a moderator:

Interesting,

Zikipita siku 14 je?

This is Africa, people have disappeared for less than the presidency.

ICC imeshindwa kumshitaki Muthaura kwa sababu "mashahidi wanakufa" na wengine wanaogopa.

Go figure!

Raila amethibitisha udhaifu aliousema Miguna kwa kuto strategize vizuri voter registration ya nguvu kwenye strongholds zake. Halafu Mudavadi kachukua a lot of Raila's likely voters.

Those 4100 votes were so crucial kwa sababu kura zingeenda raundi ya pili Uhuru ngoma yake ingekuwa nzito.

Na si nzito kwa maana ya kuukosa urais tu.

The Hague ingekuwa inamuita "Come baby, come" kama anavyosema Miguna.
 
Jamaa akishaapishwa akapewa madaraka yote ya Urais, Raila Odinga asahau! yale yale ya Mwai Kibaki!
 
Interesting,

Zikipita siku 14 je?

This is Africa, people have disappeared for less than the presidency.

No, Katiba ya Kenya is clear! The Supreme Court will have to give its decision within those 14 days. Period.
 
No, Katiba ya Kenya is clear! The Supreme Court will have to give its decision within those 14 days. Period.

Kesi ya Safari.com kutafuta ushahidi ikichukua a convoluted turn na kuchukua miezi mitatu?

Uhuru ataapishwa au?

Kama ataapishwa halafu ikaonekana ameiba kura mwezi mmoja baada ya kuapishwa itakuwaje? Atatolewa urais uchaguzi urudiwe raundi ya pili? Au akishaapishwa ndo kama bongo, imetoka?

This is a genuine set of questions, nataka kujua kwa maana it is central to how things will turn out.

Kama Uhuru is inventive enough kuiba kura, what makes you think he will not be inventive enough to play the delay game?

My question is, who is favored by delay here? What happens if the case against Safari.com lags due to all kinds of technicalities? Or Safari.com are destroying evidence as we speak to the extent that by the time they are called in court the evidence is already destroyed/ irrelevant?
 
Ndio uzuri wa Katiba mpya ya Kenya. Supreme Court has only 14 days to decide a petition on presidential poll. Hawana mwaka mzima. They will have to do it. Kwa hiyo hakuna cha miezi mitatu wala nini - 14 days, kwisha. Watasema Uhuru kashinda kihalali - anaapishwa, ama hakushinda kihalali, uchaguzi unarudiwa within 60 days of the court's decision.
 

Exactly my suspicion.

All Uhuru has to do now is delay this Safari.com case. There is law, and then there is justice. The two need not be tantamount.

Once Uhuru is sworn in, the whole thing is over. On the one hand there is a utilitarian value in that, a shaky presidency is undesirable.Ikiwezekana rais aapishwe na kutolewa na mahakama baada ya mwezi itakuwa dhahama. On the other hand, sealing in a crook as a president simply for utilitarian motives is hardly justice.

Constitutional jurisprudence scholars might debate.

This is where my question comes in.

Kama Uhuru kweli kaiba kura, organization na clout inayohitajika kuiba kura ni kubwa sana kuliko organization na clout inayohitajika kudelay case kwenye nchi ambayo rule of law ni shaky. Tushaona delay game in the justice system for lesser cases in tighter jurisdictions. Ma mafia bosses hapo Southern District of NY. Mara shahidi kaumwa, mara kapotea, mara file limeibiwa, mara kampuni imekuwa bankrupt na kufungwa overnight! Kama stakes ziko kwenye delay tu nina mashaka sana kama kesi inaenda popote.

Watoto wa Dar maskani ya "Food World" wanakwambia "ukipata viza huwezi kukosa nauli".

Sasa Uhuru kashapata viza, mnategemea atakosa nauli hata ya kukopa?

Raila ana save face tu, aonekana kafa kiume na kaonewa mpaka mahakamani huko, lakini strategically hama kitu kitakachobadilika hapa. Especially because the whole thing is time dependent.

Otherwise ni ku involve mass action which is risky, can turn bloody and Raila after the 2007 debacle does not seem to be too keen on that.
 
Kwanza katika hizo siku 14 zishapita ngapi?

Maana tusihesabu "siku 14" za kikatiba wakati kumbe nyingine zishapita.
 
Kwanza katika hizo siku 14 zishapita ngapi?

Maana tusihesabu "siku 14" za kikatiba wakati kumbe nyingine zishapita.

The petitioners have one week to legally challenge an election (the one week is from the day the results were announced) and then depending on when they actually file their petition the Supreme Court then has 14 days to rule on the challenge.
 
Raila anachotafuta ni Uhuru amuite pembeni na kumuuliza unataka nini aseme ninataka unipe wizara 5. Ama ambiwe basi kapumzike mafao ya uwaziri mkuu utapata, maana mafao nayo yanaonekana kuwa ktk hali tete.

Kama anasema IEB imemuonea na iko staged na kibaki kwa kumpa push Uhuru, kwanini tusiamini pia hiyo court nayo ilikuwa tayari iko staged na Kibaki kwa kumpa push Uhuru.
Na kama anaamini court hiyo itatoa hukumu ya haki basi na sisi pamoja nayeye hatunabudi kuamini IEB nayo ilitenda haki ktk kutanganza matokeo, maana ya kwamba wakuu wa vyombo hivi wameteuliwa na entity moja.
 
The petitioners have one week to legally challenge an election (the one week is from the day the results were announced) and then depending on when they actually file their petition the Supreme Court then has 14 days to rule on the challenge.

Matokeo yametangazwa March 09, leo March 13. Siku nne tayari hizo.

Natafuta kuona kama Raila kasha file petition naona "to file", "will file" sioni "filed".

Inaonekana anahitaji evidence ku solidify case. Inawezekana aka file kabla ya kuhakikisha evidence na anataka ku file dakika ya mwisho ili awe na muda zaidi wa kuandaa evidence.

Tatizo ni, hata aki maximize muda wake na kutumia siku 21 zote, atakuwa na muda wa kutosha ku gather evidence ya kutosha?

Atapata ushirikiano katika kesi ya Safari.com?

Majaji wanaweza kuwa impartial especially sehemu ambayo iko so politically charged with a combustive atmosphere?
 
Matokeo yametangazwa March 09, leo March 13. Siku nne tayari hizo.

Nimetoka kuangalia Citizen TV's news at 9. Wamesema kwamba CORD wana hadi Jumatatu, tarehe 18 ku-file petition yao. Tokea hapo Supreme Court ina hadi tarehe 1, mwezi April kutoa ruling yake. Sasa hapo kulingana na ruling itakavyokuwa inauguration date nayo itakuwa adjusted accordingly. Kama petition ya CORD ikitupiliwa mbali basi Uhuru ataapishwa tarehe 8, April.


It is very hard to overturn presidential election results - hivyo nadhani itakula kwa Odinga tu. But we shall see.
 


Ushasema yote mkuu afu pia Nyani Ngabu akaongozea kidogo. Kwa hivyo mimi sina la ziada kuchangia hapa.

By the way pia ikumbukwe ni 14 business/working days.
 
Personally nimeanza kumuona Odinga anaonyesha dalili za ubabaishaji.

Siku ile ya uchaguzi alisema ana vidhibiti vyote vya jinsi uchaguzi ulivyoharibiwa na aliashiria kuwa Jumatatu asubuhi akiamka kituo cha kwanza ni Mahakamani.

Sasa kama mpaka sasa anakusanya vidhibiti ina maana ile sentensi wakati anaitoa alikuwa hana uhakika na vidhibiti vyake!

Nakumbuka Dr. Slaa alinikasirikia sana nilipoanzisha thread inayosema "Chadema Hawana Mkakati Endeleeni na Shughuli Zenu" baada ya Slaa kuahidi kuonyesha ushahidi wa kuibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Mpaka leo hakuna ushahidi wowote na naona dalili kama hayo yanaweza kujirudia kwa mjomba wetu mtu mzima Raila Odinga.

Katika thread hiyo Slaa alijibu hivi:


Dr. Slaa akisoma maneno yake haya leo lazima aone aibu. Wasiwasi wangu ni kwa mjomba nae kuishia huku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…