Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa inayozunguka dunia nzima kwa sasa, kwamba Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Lissu, atatua Mahakamani kisutu kukabiliana na tuhuma zake .
Vyombo mbalimbali vya kimataifa vinatarajiwa kuwepo na kurusha dunia nzima .
Wote mnakaribishwa.
Vyombo mbalimbali vya kimataifa vinatarajiwa kuwepo na kurusha dunia nzima .
Wote mnakaribishwa.