Kesi ya Tundu Lissu kuendelea kesho Mahakama ya Kisutu, maelfu watarajiwa kuhudhuria

Kesi ya Tundu Lissu kuendelea kesho Mahakama ya Kisutu, maelfu watarajiwa kuhudhuria

Akili yako nyembamba utawezaje elewa!?
Siwezi poteza mda kujibishana na mtu aliyenyang'anywa akili. Buku7 drived.
tapatalk_1592766000193.jpg
 
Hizi keis zinaweza kupelekwa haraka na hukumu zikatoka kabla ya tarehe ya uchaguzi.

Uamuzi wowote wa kumfunga Lissu, utakuwa ni kosa lingine mbali na like la Lissu kupigwa risasi
Kufungwa sio lazima aende rumande mkuu,anaweza akalishwa mvua

na tukaendelea nae kudunda uraiani,hamna sababu yyte ya kumpa mvua

akakaa ndani sidhani kama hilo litatokea,mahakama itaamua,wengine tuwe watazamaji.
 
Siwezi poteza mda kujibishana na mtu aliyenyang'anywa akili. Buku7 drived. View attachment 1520841
Huwezi pingana n ukweli? Usitafute visingizio! Ni mMbulula tu wasiojitambua ndio wanaweza shabikia makanjanja Kama TL, Mende, Ziro, , Maalim, Mbownk! Ni mwendawazimu tu asiyeweza ona thamani halisi ya Magu kwa Tz! We ni mmoja wao! Pole yako!
 
yani hizo kesi kwa lissu ni ndogo sana na zinampa wigo mkubwa sana na hamasa ya wananchi, ni sawa na kumkojolea shoga ili umjaze mimba. ashyakum si matusi
 
Huwezi pingana n ukweli? Usitafute visingizio! Ni mMbulula tu wasiojitambua ndio wanaweza shabikia makanjanja Kama TL, Mende, Ziro, , Maalim, Mbownk! Ni mwendawazimu tu asiyeweza ona thamani halisi ya Magu kwa Tz! We ni mmoja wao! Pole yako!
Thamani ya kuchota 1.5 T, kuua watu, ubaguzi na kuleta uchatonization katika serikali au kuna nyingine?
 
Hizi keis zinaweza kupelekwa haraka na hukumu zikatoka kabla ya tarehe ya uchaguzi.

Uamuzi wowote wa kumfunga Lissu, utakuwa ni kosa lingine mbali na like la Lissu kupigwa risasi.

Mandela wa Bongo huyooooo!!
Kesi hazipelekwi haraka, zitaenda taratibu na tarehe 30 ya mwezi wa kumi ndio hukumu itatoka...narudia TAREHE 30 mwezi wa kumi mwaka huu...
 
Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siri sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= mipato Cha chini!
Tuliza kishuzi ewe nguruwe wa Lumumba
JamiiForums-1364449287~2.jpg
 
Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siri sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= mipato Cha chini!

Hebu mstari toka Mithali 3:5-6 kama ulivyoquote mwenyewe, then kwa ulichoandika hapa utuambie je, wamwamini Mungu kwa moyo wako wote and ktk njia zako zote?

Kudai kuwa mahakama inanajisika kwa ushoga kusikiliza kesi za Lissu, vipi mwanaJF huyo unaye mtaja alishataka ushirika na wewe ktk hilo jambo? Je, ulishawahi kumuona ama kumsikia akihamasisha hayo?
 
Back
Top Bottom