Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
huna lolote
sawa, lakini pole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna lolote
ipe pole ccmsawa, lakini pole.
Usipende kumpa pole mbwa koko! Achana naye huyo, hatuwahitaji wala hawatubabaishipole sana mkuu
Si ukawaulize hao wa dunia nzima na vyombo hivyo mbali mbali vya kimataifa?wale wachimbaji waliozikwa na ccm wakiwa hai huko kanda ya ziwa ili kupisha wawekezaji mliwafufua ?
Wewe mwenyewe ni shoga usidhani wengine ni shoga kama wewe kunajisi mahakama zenu ipi? Kwani wewe na wenzako ndiyo wamiliki wa mahakamaccm? Wewe unayezuia watu kuja kushuhudia ushetani wenu ndiyo huna Adabu, Siro hutegemei awaangushe na watanzania wa wapi? Unawasemea watanzania gani hao? Kuna watanzania wenye Akili ndogo wanaweza kuwa nyuma yako?Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siro sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= kipato Cha chini!
Kubambikiwa kesi na CCM ni mambo binafsi? Usiwe mtabiri wa kuhisi huruma ya wananchi wakati kesi zenu ni za kutengeneza kuwakomoa wapinzani, acha wananchi wajue udhalimu wenuTuliza mihemko ndg! TL asitafute huruma wa wananchi! Na Wala asiwaingize raia kwenye Mambo binafsi! Apambane na Hali yake .mnyewe!
Cyprian Musiba leo kashinda kwa waganga wa kienyeji akihaha juu ya Tundu lisu, anasaka uteuzi baada ya kuangukia pua kwenye kura za maoniSi ukawaulize hao wa dunia nzima na vyombo hivyo mbali mbali vya kimataifa?
Watetezi wa CCM mitandaoni wengi wanasaka uteuzi kwa mgongo wa Tundu lisuUlishapaniki tayari. Hivi jina Lissu unaliruhusuje liishi kichwani bila kulipa kodi yoyote halafu likutese hivi???
Hujuma zote zinajulikana ndiyo maana Tundu lisu atakwenda na wakili wa mahakama ya The Hague awe shuhuda vituko vya mahakamaccm kisha wajue pa kuanzia juu ya viongozi wa CCM wanaoingilia uhuru wa mahakama.Za uvunguni: Wadhamini watawakilisha hati za kuomba kujitoa katika dhamana walizo muwekea TAL. Sijui ni kweli ?
Jitu km hili ukikutana nalounaweza kuliona hata kutabasamu km TL haliwezi. Na bado, kapigwa Lisasi 16 anatoa tabasamu murua kama lote, wewe ambaye unapewa tu maagizo sura kama umeambiwa uonye sumu.Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siro sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= kipato Cha chini!
Savimbi huyoHizi keis zinaweza kupelekwa haraka na hukumu zikatoka kabla ya tarehe ya uchaguzi.
Uamuzi wowote wa kumfunga Lissu, utakuwa ni kosa lingine mbali na like la Lissu kupigwa risasi.
Mandela wa Bongo in the making!
Hii ndio taarifa inayozunguka dunia nzima kwa sasa , kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Lissu , atatua Mahakamani kisutu kukabiliana na tuhuma zake .
Vyombo mbalimbali vya kimataifa vinatarajiwa kuwepo na kurusha dunia nzima .
wote mnakaribishwa.
Hii ndio taarifa inayozunguka dunia nzima kwa sasa , kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Lissu , atatua Mahakamani kisutu kukabiliana na tuhuma zake .
Vyombo mbalimbali vya kimataifa vinatarajiwa kuwepo na kurusha dunia nzima .
wote mnakaribishwa.
Siwezi poteza mda kujibishana na mtu aliyenyang'anywa akili. Buku7 drived. View attachment 1520841
Mbona umepaniki??Akili yako nyembamba utawezaje elewa!?
Wanaodili na kesi ni Mahakama mkuu. Na hizi kesi ni za muda mrefu sana kabla hajaondoka, hiyo tarehe ya kusikiliza kesi ilishapangwa muda pia, hata asingekuwepo ingesikilizwa tu.kuna vitu serikali yajichoresha bila sababu hivi washauri wa kisiasa kwa chama dola wameisha why mnafanya vitu vya kumtafutia sifa mpinzani wenu nakumpaisha kisiasa zaidi bila sababu? yan unamblandi adui wako ? sasa nawambia lissu hata mgemuweka ndandi
moja mtajuta na pili atapata kura ambazo hamtutakuja sahau zitakua mara 3 ya kura za 2015 za lowasa , haya ni mambo tunapewa na alie umba mbingu na dunia japo hatuna makanisa na hatujiiti sijui mitume wala manabii maana bado hatjapewa kibali but
yapo mambo mazito juu ya taifa hili mpaka unajiuliza hivi huu ujumbe napewa na mungu au ni ndoto za alinacha hasa binafsi maana mpaka sasa tangu mwaka umeanza kila kitu kama nakiona live kitokeapo
Nishukuru serikari na vyombo vyote vya ulinzi tz mmefanya jambo kubwa ujio wa lissu sasa nawashauri tena kesi za upande wake dhidi ya serikali futa zote but si lazima nimetoa maoni ,ila mzee wangu SIRRO IGP kuna kipindi kigum sana ila mungu atakutetea
naishia hapo kwa leo