BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hapo kwenye rangi ndiyo umeandika upuuzi gani? 😳😳😳
Acheni kunajisi mahakama zetu kwa kuendelea ushoga! Hizo ni kesi zonamhusu TL, wengine mjazane mna kesi hapo! Mbona mnakosa adabu na maadili! Au hamjiamini!? Yaani Siri sitegemei atuangushe watz tunaotaka maendeleo ya kuvuka 4,000/= mipato Cha chini!