Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

Kwahiyo dogo alibakwa akiwa na miaka 7 akiwa darasa la kwanza?

Maana sahivi 2021 na taarifa inasema alibakwa 2019.

Waendesha mashkataka fanyeni uchunguzi vizuri najua hamshindwi.
Ni mchezo uliokuwa ukiendelea.sio siku moja
 
  1. mtoto akiwa mdogo anawindwa na wabakaji au walawiti
  2. akipevuka kidogo kama ni mwanamke anawindwa na mabeberu wa kiume
wazazi wamekuwa hawana amani ya nafsi
Kulea kipindi hichi sio kazi ndogo.
Mbaya zaidi maisha nayo yamekuwa tight watu wanakuwa bizzy.
Unakuta mzazi anajitahidi lakini ndio hivo yanakukuta unabaki unajiuliza nimekosea wapi.
Mungu atusaidie kwakweli.
 
"MWANAFUNZI wa Darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa"

Muhammad Married A Six Year Old Child

Aisha, daughter of Abu-Bakr was a beautiful little girl. Muhammad married her when he was fifty three years old and she was only six years old. He had intercourse with her when she was nine years old. (Wives of the Prophet, pages 57-61).

Ostaadh anaweza akashinda hii kesi...
 
huko ulikoelekea wewe lengo lako ni kuweka balance isiyohitajika kwenye hii thread, suala lolote la uvunjivu wa maadili halipaswi kuletewa mlinganisho mfano wa huo.
kwa kuwa hii thread imezungumzia mwalimu wa madrasa imenibidi nami nigusie mchango wangu kwa muelekeo huo.

binafsi ni muislamu wa kuzaliwa, nina mwanafamilia wangu ameoa/kuolewa na mwanafamilia ambaye mzazi wake alikuwa ni mwalimu wa madrasa na amefungwa kifungo cha muda mrefu kwa makosa kama hayo.
Unauelewa mkubwa Sana ...Safi Sana.
 
HAPA HATA MATAMKO TOKA KWA MASHEKH HAKUNA,SUBIRI AASA MWENDA WAZIMU AIBUKE
 
Hakuna dini hapo vijana wa mudi mnapoteza muda tu
Wewe ndio mwenye dini.. Mwenye Miungu mitatu. Mungu Baba. Mungu mwana na Mungu mtakatifu...
Nina swali kwako Matanga which means pungu ani..


Nabii gani alipewa Kitabu cha Biblia?

Je Mungu Yesu aliwahi kutailiwa?

Naomba majibu
 
Huyu ustazi akikutwa na hatia apigwe kifungo cha maisha kabisa.
Hivi njemba ya miaka 22 inakosa dem wa umri wake?? Au ndo mbele za watu linajifanya halitaki zinaa then nyuma ya pazia linabaka watoto wadogo. Kuna hadi malaya wanauzwa buku 5 na hao kakosa?? Kuna sabuni zinauzwa hadi 100. Na hizo haoni akapiga hata puli?

Mimi ningekua mzazi tungegawana majengo ya serikali aiseeh. Nisingesubiri kesi ichukue muda wote huo. Ningejipa kazi ya judge , jury na executioner
 
Hawa wanajiona ufahari kuwafungua watoto vizibo

Ova
 
Noma sana dingi. Yani saivi sio mtoto wa kike wala wa kiume wote wapo vulnerable inabidi wazazi tuzidi kuwa makini na watoto wetu.
Watoto wafunzwe kujitambua kuwa akiona kitu kisicho cha madrasa awaambie wazazi.Na wazazi waulize watoto kama kuna kitu kisicho cha kawaid wanachokiona huko madrasa kwa wanafunzi au kwa maustaadhi zaidi ya kufundisha
Pia hili tatizo ni kubwa wazazi wawakague watoto w kike mbele na nyuma kila wakitoka madrasa.Na wa kiume wakaguliwe nyuma kila watokapo madrasa hasa za uswahilini
 
Haiwezekani watoto wa kike kufundishwa na wadada/wamama?
Wa kiume pia hawako salama kwa maustaadhi wa kiume.Nafikiri walimu wa Madrasa wanatakiwa wawe wanawake.wafundishe vwatoto wa kike na kiume usalama wao utakuwa mkubwa zaidi.Lakini maustaadhi wa kiume hapana
 
Wewe ndio mwenye dini.. Mwenye Miungu mitatu. Mungu Baba. Mungu mwana na Mungu mtakatifu...
Nina swali kwako Matanga which means pungu ani..


Nabii gani alipewa Kitabu cha Biblia?

Je Mungu Yesu aliwahi kutailiwa?

Naomba majibu
Kati ya vitu vyote vya kuuliza ukaona uulizie kutahiriwa kwa Yesu, mkuu ni kama unapenda madyudyu sana.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
MWANAFUNZI wa Darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa( jina linahifadhiwa), amedai amekuwa akibakwa na mwalimu wa madrasa mara nyingi baada ya mafunzo ya dini.

Amedai amekuwa akiingizwa dudu lake la kukojolea kwenye uchi wake wa kukojolea (kwa bibi) na mwalimu huyo kisha anampatia biskuti ili asije kusema.

Shahidi huyo ambaye anasoma shule ya msingi Uwanja wa Ndege, Dar es Salaam, alidai hayo katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke, mbele ya Hakimu Mkazi Anna Mpessa, wakati akitoa ushahidi wa kesi ya ubakaji inayomkabili Shaban Hamid(22).

Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Cecilia Mkonongo, Shahidi huyo alidai baada ya kutoka shuleni saa nane mchana anakwenda nyumbani anakula chakula kisha anakwenda madrasa na mtoto wa shangazi yake ambaye anasoma chekechea.

Shahidi huyo alidai wakifika chuo cha dini wanafundishwa na hostazi Shabani wakiwa na watoto wengine ambapo baada ya mafundisho anawaambia watoto wengine waondoke wabaki yeye na mwenzake kwa ajili ya kukusanya mikeka.

" Hostazi Shabani anatufundisha sisi na watoto wengine alafu baadaye anatwambie tubaki mimi na mwenzangu tukusanye mikeka kisha ananibaka wakati huo mwenzangu anakuwa pembeni akinimaliza nae anambaka. Anakuwa ananivua nguo yangu namwambia sitaki sitaki làkini ananivua hadi chupi mpaka chini naye anavua suruali yake pamoja na boksa kisha ananiambia nilale chini alafu yeye analala juu yangu," alidai.

" Baada ya kusikia mama anaongea na shangazi kuhusu habari za ubakaji ndipo namimi nikamwambia kwamba Hostazi uwa anatubaka mimi na mwenzangu," alidai.

Shahidi huyo alidai baada ya kumwambia mama yake alimchukua na kumpeleka hospitalini kisha walimpima.

Baada ya kumaliza kutoa ushahidi wa kesi hiyo, Hakimu Anna alisema hati ya kumkamata mshitakiwa imetolewa baada ya kuruka dhamana ambapo kesi hiyo ilisikilizwa pasipokuwepo mshitakiwa.

Mshitakiwa inadaiwa alitenda kosa hilo kati ya Desemba mwaka 2019 na Februari mwaka jana eneo la Yombo Lumo, Dar es Salaam ambapo alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa( jina linahifadhiwa)

Hakimu Anna iliahirishwa hadi Mei 11
Kesi za ubakaji ni mbaya kuliko za uhujumu uchuni, zisiwe na dhamana
 
Back
Top Bottom