Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

Kwahiyo dogo alibakwa akiwa na miaka 7 akiwa darasa la kwanza?

Maana sahivi 2021 na taarifa inasema alibakwa 2019.

Waendesha mashkataka fanyeni uchunguzi vizuri najua hamshindwi.
Ni mchezo uliokuwa ukiendelea.sio siku moja
 
  1. mtoto akiwa mdogo anawindwa na wabakaji au walawiti
  2. akipevuka kidogo kama ni mwanamke anawindwa na mabeberu wa kiume
wazazi wamekuwa hawana amani ya nafsi
Kulea kipindi hichi sio kazi ndogo.
Mbaya zaidi maisha nayo yamekuwa tight watu wanakuwa bizzy.
Unakuta mzazi anajitahidi lakini ndio hivo yanakukuta unabaki unajiuliza nimekosea wapi.
Mungu atusaidie kwakweli.
 
"MWANAFUNZI wa Darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa"

Muhammad Married A Six Year Old Child

Aisha, daughter of Abu-Bakr was a beautiful little girl. Muhammad married her when he was fifty three years old and she was only six years old. He had intercourse with her when she was nine years old. (Wives of the Prophet, pages 57-61).

Ostaadh anaweza akashinda hii kesi...
 
Unauelewa mkubwa Sana ...Safi Sana.
 
HAPA HATA MATAMKO TOKA KWA MASHEKH HAKUNA,SUBIRI AASA MWENDA WAZIMU AIBUKE
 
Hakuna dini hapo vijana wa mudi mnapoteza muda tu
Wewe ndio mwenye dini.. Mwenye Miungu mitatu. Mungu Baba. Mungu mwana na Mungu mtakatifu...
Nina swali kwako Matanga which means pungu ani..


Nabii gani alipewa Kitabu cha Biblia?

Je Mungu Yesu aliwahi kutailiwa?

Naomba majibu
 
Huyu ustazi akikutwa na hatia apigwe kifungo cha maisha kabisa.
Hivi njemba ya miaka 22 inakosa dem wa umri wake?? Au ndo mbele za watu linajifanya halitaki zinaa then nyuma ya pazia linabaka watoto wadogo. Kuna hadi malaya wanauzwa buku 5 na hao kakosa?? Kuna sabuni zinauzwa hadi 100. Na hizo haoni akapiga hata puli?

Mimi ningekua mzazi tungegawana majengo ya serikali aiseeh. Nisingesubiri kesi ichukue muda wote huo. Ningejipa kazi ya judge , jury na executioner
 
Hawa wanajiona ufahari kuwafungua watoto vizibo

Ova
 
Noma sana dingi. Yani saivi sio mtoto wa kike wala wa kiume wote wapo vulnerable inabidi wazazi tuzidi kuwa makini na watoto wetu.
Watoto wafunzwe kujitambua kuwa akiona kitu kisicho cha madrasa awaambie wazazi.Na wazazi waulize watoto kama kuna kitu kisicho cha kawaid wanachokiona huko madrasa kwa wanafunzi au kwa maustaadhi zaidi ya kufundisha
Pia hili tatizo ni kubwa wazazi wawakague watoto w kike mbele na nyuma kila wakitoka madrasa.Na wa kiume wakaguliwe nyuma kila watokapo madrasa hasa za uswahilini
 
Haiwezekani watoto wa kike kufundishwa na wadada/wamama?
Wa kiume pia hawako salama kwa maustaadhi wa kiume.Nafikiri walimu wa Madrasa wanatakiwa wawe wanawake.wafundishe vwatoto wa kike na kiume usalama wao utakuwa mkubwa zaidi.Lakini maustaadhi wa kiume hapana
 
Wewe ndio mwenye dini.. Mwenye Miungu mitatu. Mungu Baba. Mungu mwana na Mungu mtakatifu...
Nina swali kwako Matanga which means pungu ani..


Nabii gani alipewa Kitabu cha Biblia?

Je Mungu Yesu aliwahi kutailiwa?

Naomba majibu
Kati ya vitu vyote vya kuuliza ukaona uulizie kutahiriwa kwa Yesu, mkuu ni kama unapenda madyudyu sana.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kesi za ubakaji ni mbaya kuliko za uhujumu uchuni, zisiwe na dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…