Kesi ya Ugaidi: Kingai na genge lake waumbuliwa

Kesi ya Ugaidi: Kingai na genge lake waumbuliwa

Tunatatakiwa kuwa na vyombo vya dola na mahakama zinazoheshimika kwa kutoa haki kwa Kila mwananchi.
Haki lazima itendeke na ionekane kwamba imetendeka.
Ni hatari sana kama wananchi walio wengi wakikosa imani kwa vyombo vya dola na mahakama.
Viongozi lazima waelewe hivi kwa mustakabali mwema wa taifa.
Kazi ya jaji ni kutoa haki na kuonesha kwamba haki imetendeka.
Ni busara yanapokuwepo malalamiko ya watuhumiwa, jaji atumie mahakama kuthibitisha ukweli au uongo wa tuhuma hizo kwa uwazi bila kuegemea zaidi kwenye mbinu za kisheria zisizoeleweka na walio wengi na zisizotoa haki.
Siyo lazima uwe mwanasheria mbobezi kujua haki ipo wapi.
 
Tunatatakiwa kuwa na vyombo vya dola na mahakama zinazoheshimika kwa kutoa haki kwa Kila mwananchi.
Haki lazima itendeke na ionekane kwamba imetendeka.
Ni hatari sana kama wananchi walio wengi wakikosa imani kwa vyombo vya dola na mahakama.
Viongozi lazima waelewe hivi kwa mustakabali mwema wa taifa.
Kazi ya jaji ni kutoa haki na kuonesha kwamba haki imetendeka.
Ni busara yanapokuwepo malalamiko ya watuhumiwa, jaji atumie mahakama kuthibitisha ukweli au uongo wa tuhuma hizo kwa uwazi bila kuegemea zaidi kwenye mbinu za kisheria zisizoeleweka na walio wengi na zisizotoa haki.
Siyo lazima uwe mwanasheria mbobezi kujua haki ipo wapi.
simba,syami,tiganga hamuoni aibu?
 
I am thinking of a situation where I can tell the judge kuwa Mh Jaji upande mwingine una upa uzito zaidi kuliko unavyotupa sisi/ au mzania kati yetu na wenzetu unaelemea upande mmoja (kutumia lugha ya kisaarabu) halafu unamuachia ameze au ateme!
Ni bora kumwambia moja kwa moja imwingie vizuri, maana hata ukilemba yeye bado ataelekea upande uleule unaompeleka chooni.
 
Katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.

Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.

Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
Kwa uongo huo wa polisi tutaamini vipi kama na mshtaka sio ya uongo? P. Kibatala et al wanafanya kazi nzuri sana.
 
Kova alikua anahojiwa na clouds 360 akasema tangu astaafu akiwapigia simu marafiki zake hawapokei simu Tena siku hizi.
Alisema hata Makonda siku hizi hampokelei simu yake. Kova yuko ktk mtanzuko wa kisaikolojia mkubwa sana baada ya kustafu.
 
Mkuu Retired unadhani yote hayo hajui/hawajui? Wanajua sana kutokana na yanayojadiliwa kwenye mitandao ya kijamii kwani wanaisoma, na siku hizi wanaifuatilia sana. Hata hao mawakili wa serikali hadi wanapiga simu kuuliza vijiwe vyao wanavyo nywea bia watu wanasemaje.
Shida ni kiburi na kujisahau. Lakini kulikuwa na wenye viburi, ubabe na dharau kama Sabaya au Bashite? Wana hali gani? Ni mashaka na hudhuni tuu mioyoni mwao. Jaji asijidanganye kuwa anaweza kutenda uovu akawa salama siku zote, hata Hagaya mwenyewe uovu hauwezi kum guarantee usalama maana tumeona wababe kabisa kama Albashir, Mubarak, Mugabe au Gaddafi wakitepeta.

Mtu mwema jamii itakupigania na katikati ya mateso uta tabasamu. Ona Mbowe alivyo sasa, hafichi uso akija mahakamani na anasalimia kwa bashasha na watu wanasimama kumpa heshima.
Sabaya alikuwa anaangalia chini muda wote akikwepa kamera. Guiltness!
 
Wanazidi kuumbuka.

Si kidogo yaani ACP Kingai kupitia kesi alipiga hesabu umri wa kustaafu IGP Sirro umekaribia sana.Kwakuwa kafanikiwa kumbambikia kesi Mbowe angefikiriwa kuchukua mikoba ya Sirro.

Alirejesha kumbukumbu nyuma jinsi Mahita alivyoukwaa uIGP kwa kumpiga mabomu Lyatonga Mrema.

Hili sasa limekuwa tatizo la vyombo vyetu vya usalama na hata Mahakama tuliona jinsi Jaji aliyekuwa akisikiliza kesi alivyopandishwa haraka haraka kuwa Jaji Kiongozi.

Katiba mpya itaondoa huu ujinga.

Ngongo kwasasa Chato shule ya Museveni
 
Si kidogo yaani ACP Kingai kupitia kesi alipiga hesabu umri wa kustaafu IGP Sirro umekaribia sana.Kwakuwa kafanikiwa kumbambikia kesi Mbowe angefikiriwa kuchukua mikoba ya Sirro.

Alirejesha kumbukumbu nyuma jinsi Mahita alivyoukwaa uIGP kwa kumpiga mabomu Lyatonga Mrema.

Hili sasa limekuwa tatizo la vyombo vyetu vya usalama na hata Mahakama tuliona jinsi Jaji aliyekuwa akisikiliza kesi alivyopandishwa haraka haraka kuwa Jaji Kiongozi.

Katiba mpya itaondoa huu ujinga.

Ngongo kwasasa Chato shule ya Museveni
Vyombo vya dola ukimfurahisha mfalme hata ukimwaga damu za watu unaitwa mchapa kazi jasiri usiye na woga. Unapewa cheo kikubwa zaidi.
 
Hivi hawa police wakistaafu huwa wanaendelea kulindwa?
Walindwe na Nani? Kuna yule mmoja alikua RPC Dar, baada ya kustaafu na kukosa pesa za rushwa alizokua amezoea alichoka mpaka akkaajiriwa na wahindi Kama mlinzi wa bureau de change pale Kona ya India na Zanaki. Silaha aliyokua anatumia Ni Ile migobore iliyotumika Vita kuu ya kwanza.
Just imagine RPC he Hawa wabeba bunduki.
Mimi huwa nawaangaliyaga mapolisi, nawaangaliyaaaaa......nasemaga fainali uzeeni.
Kwanza wenyewe kwa wenyewe hawspendani. Polisi akistaafu anakaa hata mwaka hajapewa nauli ya kurudi kwao usweken. Mafao Sasa ndio balaaa....
 
Walindwe na Nani? Kuna yule mmoja alikua RPC Dar, baada ya kustaafu na kukosa pesa za rushwa alizokua amezoea alichoka mpaka akkaajiriwa na wahindi Kama mlinzi wa bureau de change pale Kona ya India na Zanaki. Silaha aliyokua anatumia Ni Ile migobore iliyotumika Vita kuu ya kwanza.
Just imagine RPC he Hawa wabeba bunduki.
Mimi huwa nawaangaliyaga mapolisi, nawaangaliyaaaaa......nasemaga fainali uzeeni.
Kwanza wenyewe kwa wenyewe hawspendani. Polisi akistaafu anakaa hata mwaka hajapewa nauli ya kurudi kwao usweken. Mafao Sasa ndio balaaa....

Yaani wakati mwingine unabaki unashangaa,kwasababu maovu yote waliyotenda yawatafuna hadi watoto wao.
 
Walindwe na Nani? Kuna yule mmoja alikua RPC Dar, baada ya kustaafu na kukosa pesa za rushwa alizokua amezoea alichoka mpaka akkaajiriwa na wahindi Kama mlinzi wa bureau de change pale Kona ya India na Zanaki. Silaha aliyokua anatumia Ni Ile migobore iliyotumika Vita kuu ya kwanza.
Just imagine RPC he Hawa wabeba bunduki.
Mimi huwa nawaangaliyaga mapolisi, nawaangaliyaaaaa......nasemaga fainali uzeeni.
Kwanza wenyewe kwa wenyewe hawspendani. Polisi akistaafu anakaa hata mwaka hajapewa nauli ya kurudi kwao usweken. Mafao Sasa ndio balaaa....

Nasikia macho yanazidi kumtoka muda wowote yanaweza kudondoka.
 
Back
Top Bottom