Hiyo mioyo ya kusikia Maonyo wanayo?Ukatili au uwongo ni vitu vibaya sana hasa hasa kumkwanza mwenzako. Hi laana huwa inajificha sana lakini lazima iumbue nyakati zinavyokwenda.
Hili neno uwongo na laana vinasuta dhamira sana. Msemwa jitafakari uepuke hi laana. Huu upupu utakwenda nao kizazi hata kizazi. Na happy inaweza kuwa ndiyo mwisho wa kizazi Chako kusonga mbele. Jenga familia ambayo haitawekewa kinyongo mbeleni.
Siyo rahisi,take my words!!!Ameonyesha waziwazi kuwa ameletwa ajili ya kumfunga Mbowe na hakuna kingine
😅😅😅Jamhuri iache uhuni hakuna kesi hapo
Script imeunguaKuandika script ya kesi kubwa kama hii unajitaji akili ya ziada, sasa kimeumana.
Anadai akiwapigia simu marafiki na polisi wenzake wa zamani hawashiki simu.Thubutu ! Kova sasa hivi anakimbizana na akina Mkude club ya simba
The same day, shahidi anaonekana pande mbili yupo Dar Central Police akishughulika na Lingwenya na O'bay Police akishughulika na Mchome - Kimeumana 🤣🤣🤣Script imeungua
Wajameni wapata ugumu kuelewa au hutaki tu kuelewa?Kwenye heading umemtaja kingai humu ndani umetaja watu wangine
😅😅😅😅The same day, shahidi anaonekana pande mbili yupo Dar Central Police akishughulika na Lingwenya na O'bay Police akishughulika na Mchome - Kimeumana 🤣🤣🤣
Mi mwenyewe sieleweki[emoji23]Wajameni wapata ugumu kuelewa au hutaki tu kuelewa?
Mkemee huyo shetani anaekutia kizunguzungu mpaka macho yako yanakosa kuona vizuri.Mbowe anatia huruma. Amechoka na anaelekea kukata tamaa mapingamizi yanavyotupwa tupwa.
Wahitaji kumrudia Mungu. Amen.Mi mwenyewe sieleweki[emoji23]
Ameen mtumishiWahitaji kumrudia Mungu. Amen.
Hongera kwa matumaini uliyojipa- ila jiulize kama walipelekwa Tazara kwa nini wasingizie centralKatika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.
Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.
Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
La 'kubumba' halina ubani. Litasambaratika vilevile kama zilivyo kazi nyingine za kishetani. AMENKatika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake watatu,leo Shahidi upande wa utetezi Ndg Lembrus Mchome mkaazi wa Wilaya ya Mwanga kaithibitishia Mahakama kwamba D/C Msemwa alikuwa akihudumu kituo cha police Oysterbay na si Central Police kama alivyodai wakati akitoa ushahidi wake kwamba alimpokea mshitakiwa Mohammed Ling’wenya.
Ndg Lembrus alikuwa akikabiliwa na kesi ya makosa ya mtandao.Pamoja na kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji anayesikiliza kesi hiyo pia aliweza kuwasilisha nyaraka mbali mbali zenye kuunga mkono madai yake.
Kupitia ushahidi huu ambao mawakili wa Serekali hawakuutarajia kabisa ni wazi sasa madai ya washitakiwa Adamo na Ling’wenya kwamba hawakuwahi kufikishwa Central police hata mara moja badala yake walipelekwa Vituo vya Police TAZARA na Mbweni yatakuwa yamepata nguvu kubwa kweli kweli.
Ogopa sana pesa ya dhulma. Kuna mmoja hapa TANGA alikuwaga RTO Basi pesa ikawa inaingia tu, watu wapate ajali almradi yeye apewe pesa, wenye haki barabarani wanyimwe haki almradi rto apate pesa. Akajenga bar na gesti (biashara zao Ni hizi za kuchuma dhambi) Mara, kastaafu, bar ikakosa wateja, gesti ikakosa wateja hata bodaboda wakaistukia. Sasa hivi choka mbaya, isitoshe dialysis wiki Mara tatu, kisukari na presha juu.Hahahaha RPC anaajiriwa na Beuraau De Change? hivi pesa hawa huwa wanaziweka wapi? au sababu zina mikono ya damu?
Atamfunga kwa muda tu ila atatoka maana tangu case imeanza hajatokea shahidi yeyote aliyetoa ushahidi wa kumfunga mtu paleAmeonyesha waziwazi kuwa ameletwa ajili ya kumfunga Mbowe na hakuna kingine
Mpaka Jaji anasema shahidi anapewa majibu ni jaji sasa huyo au ni takataka?Siyo rahisi,take my words!!!