Kesi ya Ugaidi yazidi kufichua Mazito. Shahidi aulizwa kuhusu utekaji wa Ben Sanane, Magoti na shambulio la Lissu

Kesi ya Ugaidi yazidi kufichua Mazito. Shahidi aulizwa kuhusu utekaji wa Ben Sanane, Magoti na shambulio la Lissu

Again mkuu unazidi kujionyesha ni jinsi gani ulivyo katili na bado unaingia nyumba za ibada,muda sio mrefu upepo utageuka na utaonyeshwa ni jinsi gani upendo na ithamini wa utu wa mwanadamu ulivyo bora .
Asante sana mkuu
 
PATAMU!
1641896271781.png
 
Mkuu Erythrocyte mbona mmeacha kutupasha moja kwa moja yanayoendelea mahakamani? Mmechoka? Mwenyekiti anayelala jela hajachoka, nyie mnaolala nyumbani na wake zenu mnachokaje?

Hii kesi ilikuwa inaamsha hisia za watu na kuelimisha elimu ya uraia na sheria. Endeleeni kuleta habari moja kwa moja.
Mkuu JF kama kawaida imekuletea updates za kesi ya Ugaidi , Enjoy !
 
Haya yote yamesemwa jana na mawakili wa Utetezi wakati wa cross examination , ambapo walimhusisha SP JUMANNE na kutekwa kwa Erick Kabendera, Titto Magoti, Ben Saanane na kwamba alihusika na Shambulio la Lissu.

Shahidi SP JUMANNE alihojiwa pia kuhusu Uhusiano wake na Paulo Makonda.

MUHIMU: Kuna haja ya watanzania kumfahamu zaidi shahidi huyu muhimu kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu
Kwa mbungi alilopiga Kibatala leo🔥🔥🔥...hakuna kesi pale ya ugaidi. Ningekuwa mimi ni jaji, leoleo ningefuta hii kesi
 
Wanasema kwamba acha mvua inyeshe ili tuone panapovuja , Kumbuka miongoni mwa wahudhuriaji wakubwa wa kesi hii ni TITTO MAGOTI
Kwanini Kibatala asimuumbue Jumanne kwa kumleta Titto Magoti aje atoe ushahidi kueleza alivyoteswa na Jumanne?
 
Mkuu Erythrocyte mbona mmeacha kutupasha moja kwa moja yanayoendelea mahakamani? Mmechoka? Mwenyekiti anayelala jela hajachoka, nyie mnaolala nyumbani na wake zenu mnachokaje?

Hii kesi ilikuwa inaamsha hisia za watu na kuelimisha elimu ya uraia na sheria. Endeleeni kuleta habari moja kwa moja.
Hujaona uzi humu ndani na kule Twitter page ya Martin mkuu?? Yaani huyo Shahid amekula kibano hatari... Anajuuta kuwafahamu Malya na Kibatala...
 
Tito Magoti anawajua waliotumwa kumteka.Na kilichomuokoa tito ni kutokula chakula cha nje cha kuletewa hiki ni rahisi sana hawa watoa kafara kukuwekea sumu,kama una uadui na wahuni na wakakuweka mahabusu kula chakula cha wafungwa wote hiki ni ngumu kuwekewa sumu utakuwa salama ukila tu cha nje kama Wana nia ovu umekwenda,ila ashukuriwe Mungu tuko salama baada ya shetani kupigwa minyororo milele asiumize tena. kiongozi
Yeyeto atakaewaumiza watz hakika atakufa haya ni maagano.
 
Kwa hiyo wakili wa upande wa utetezi akisema alihusika na matukio hayo, basi wote bila kuhusisha vizuri halmashauri za vichwa vyetu tukubalie tu na kushangilia kama mazuzu, kisa tu katekenya masikio yetu na story tunazozipenda, hata kama ni za kubumba tu.

WaTanzania wa sasa hatuko hivyo, tukidanganyika ujue tumeamua, lkn haimaanishi kwamba hatujui ukweli.
Wewe masikini subiri ulipwe elfu 7 ukanunue chips kavu , huna ulijualo kapuku we !!
 
Haya yote yamesemwa jana na mawakili wa Utetezi wakati wa cross examination , ambapo walimhusisha SP JUMANNE na kutekwa kwa Erick Kabendera, Titto Magoti, Ben Saanane na kwamba alihusika na Shambulio la Lissu.

Shahidi SP JUMANNE alihojiwa pia kuhusu Uhusiano wake na Paulo Makonda.

MUHIMU: Kuna haja ya watanzania kumfahamu zaidi shahidi huyu muhimu kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu
The entire hidden picture will eventually unfold. "Haya; acha episode iendelee.
 
Kwenye heading maelezo hayafanani na maelezo yaliyofuatia!

Wametajwa na nani...
Hujui kitu kapuku we ! mkiwa chawa wa watekaji basi mnashabikia kila uchafu , wanafiki wakubwa nyie !
 
Back
Top Bottom