Tetesi: Kesi ya utekaji na mauaji dhidi ya Makonda yanukia

Hapo Arusha upo pande ipi wewe MDUDU?
 
Hakika, na akamatwe haraka
 
Nonsense
 
Je ikiwa hivyo wana arachuga watashiriki ukamataji huo😁
 
Duh 🙄 !
 
Ngoja Tusubiri tuone. !
 
Mnakaririshwa tu kama Kasuku ila uthibitisho wowote wa uhusika wa Makonda hamna.

Kwa hiyo kwa sasa watu hawapotei na hakuna maiti zinaokotwa?
Zimeokotwa lini kwenye viroba siku za karibuni bwana ng'ombe?
 
Kwa hiyo kuishi kwa Makonda ni baraka ya wenye mamlaka???Na kufa kwa Membe ni laana ya wenye mamlaka???Shit.
 
MPANGO DUNI WA CHADEMA KATIKA KULIOKOA JIMBO LA ARUSHA!,
# UTOTO HUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…