Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
bongo nyoso, bongo balaa
Damu ya mtu haikuachi hivihivi na huko gerezani ndio shiiida
Damu ya mtu haikuachi hivihivi na huko gerezani ndio shiiida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabsaa lazima uilipiebongo nyoso, bongo balaa
Damu ya mtu haikuachi hivihivi na huko gerezani ndio shiiida
Jaji mkuu kageuka msemaji wa ccmJaji Mkuu anataarifa hii? Kwamba kesi zinacheleweshwa? Kuna sababu gani ya kumshikilia mtu kwa kesi ya mauaji kwa miaka 15 kama upelelezi umeshindikana bunge litunge sheria ya jaji kuwaachia Mahabusu waliokaa miaka 5 Mahabusu wakisubiri upelelezi ukamilike.
Nakumbuka kipindi nilipokuwa mahabusu na hatimaye mfugwa nilikutana na mahabusu wengi waliokuwa wanasubiri hatima ya kesi zao. Wengi wamekuwa kama vichaa au kuchoka kimwili kwa muda mrefu wanaosubiri hukumu yao.
Nilikutana na mzee aliyekaa mahabusu toka 2008 anasubiri hukumu ya kumuua mkewe hakika huyu mzee anasikitisha sana haswa usiku huwa anapiga kelele nyingi kama kuota au hali ya kuweweseka.
Kwa hali ilivyo kesi za mauaji iwe uliua au umesingiziwa kwa uzoefu nilioupata pale wengi wanaoshtakiwa kesi hizi zimekuwa ngumu sana kwao na kuwaathiri kimwili na kisaikolojia. Wengi wamepigwa sana na askari kipindi cha upelelezi miguu kuvunjwa mikono kuvunjwa wengi wanachechemea na majeraha makubwa mwilini na kutengwa na ndugu zao hakika wanakua kwenye kipindi kigumu sana .
Ombi langu kubwa ni kwa askari kukamilisha upelelezi mapema na wapate haki zao mapema, wengi wanafia ndani bila kuhukumiwa
Mahakama ziangalie pale na division ya kuhukumu kesi za mauaji tu zimekuwa nyingi na wengi wanaishia rumande miaka 10-15 bila kupata hukumu.
Kiingereza au kitaalam?Kitaalamu inaitwa death row
Kitaalamu...Kiingereza au kitaalam?
You are right.Kitaalamu...
Ni kweli kabisa kwa mujibu wa tafsiri yako na sentensi yako...😂😂😂You are right.
Kama Ni hivyo Basi rais kitaalamu anaitwa PRESIDENT
Tatizo usilolijua ni kwamba 98% ya watuhumiwa wanaohojiwa kwa nguvu na kukiri, ni wahusika wa matukio.Tatizo kubwa polisi wetu hawana uwezo wa kupeleleza kitaalamu….wanatumia mbinu ya kupiga watu na kutesa ili wakubali na kutokana na watu kuchoka na mateso wanakubali…..Mimi naamini na kuna wafungwa na na mahabusu ambao wamebambikiwa tu kesi...
Kitengo cha upelelezi kiboreshwe na watu wapewe mafunzo hata nje ya nchi…
Unatetea ujingaTatizo usilolijua ni kwamba 98% ya watuhumiwa wanaohojiwa kwa nguvu na kukiri, ni wahusika wa matukio.
Hauwezi kukiri bila ya kuonesha vielelezo ukahesabika umekiri na ukaaminika.
Mtu anayehesabika amekiri na kutoa ushirikiano ni yule anayekiri na kuonesha vidhibiti.
Huyu kamuua mama yake mzazi. Askari magereza wata enjoy sana.Nakumbuka kipindi nilipokuwa mahabusu na hatimaye mfugwa nilikutana na mahabusu wengi waliokuwa wanasubiri hatima ya kesi zao. Wengi wamekuwa kama vichaa au kuchoka kimwili kwa muda mrefu wanaosubiri hukumu yao.
Nilikutana na mzee aliyekaa mahabusu toka 2008 anasubiri hukumu ya kumuua mkewe hakika huyu mzee anasikitisha sana haswa usiku huwa anapiga kelele nyingi kama kuota au hali ya kuweweseka.
Kwa hali ilivyo kesi za mauaji iwe uliua au umesingiziwa kwa uzoefu nilioupata pale wengi wanaoshtakiwa kesi hizi zimekuwa ngumu sana kwao na kuwaathiri kimwili na kisaikolojia. Wengi wamepigwa sana na askari kipindi cha upelelezi miguu kuvunjwa mikono kuvunjwa wengi wanachechemea na majeraha makubwa mwilini na kutengwa na ndugu zao hakika wanakua kwenye kipindi kigumu sana .
Ombi langu kubwa ni kwa askari kukamilisha upelelezi mapema na wapate haki zao mapema, wengi wanafia ndani bila kuhukumiwa
Mahakama ziangalie pale na division ya kuhukumu kesi za mauaji tu zimekuwa nyingi na wengi wanaishia rumande miaka 10-15 bila kupata hukumu.
Ipo ivii?Unatetea ujinga
Huyu dada basi tu hii picha kaipigia chuo cha ushirika moshii sijui shetani gani limempata!
Kesi hizi zinachelewa sababu ya kutumia mida mwingi kuendesha kesi za akina Mbowe
Wabongo tuna stress! Katika maelezo yake hapo juu, ni wapi huyo jamaa amesema anamwabudu Mbowe! Au amesema huyo Mbowe ni mtu wa hadhi ya juu sana!!Wrong point mbowe ni mtu wa kawaida kama wengine.
Sio kila mtu anamuabudu kama wewe!