peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ni chakula cha maafisa magereza kwa sasaHuyu dada basi tu hii picha kaipigia chuo cha ushirika moshii sijui shetani gani limempata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chakula cha maafisa magereza kwa sasaHuyu dada basi tu hii picha kaipigia chuo cha ushirika moshii sijui shetani gani limempata!
Kwani zimeanza baada ya kukamatwa gaidi Mbowe?Kesi hizi zinachelewa sababu ya kutumia mida mwingi kuendesha kesi za akina Mbowe
Kiundwe taasis/kitengo maalumu cha upelelezi kushughulika kesi kubwa kubwa maana polisi wamelemewa.Tatizo kubwa polisi wetu hawana uwezo wa kupeleleza kitaalamu….wanatumia mbinu ya kupiga watu na kutesa ili wakubali na kutokana na watu kuchoka na mateso wanakubali…..Mimi naamini na kuna wafungwa na na mahabusu ambao wamebambikiwa tu kesi...
Kitengo cha upelelezi kiboreshwe na watu wapewe mafunzo hata nje ya nchi…
Kinachotakiwa ni katiba mpya itakayoweka haki ya dhamana kwa makosa yote sio huu mtindo wa kusubiri hisani na fadhila za mtu mmoja.Hahaha
Wasaidizi wake wamelala binafsi namshukuru hayati Magufuli alienda butimba kujionea hali na waliosingiziwa walitolewa kwa chifu hangaya sijui kama atakumbuka kwenda gereza lolote
Hili sio tatizo la mahakama tu ni suala la polisi wanaokamata watu bila upelelezi na ushahidi wa kujitosheleza unaoweza kupelekwa na kusikilizwa mahakamani.Kesi za mauaji murder case ni serious sana hata kwenye nchi maskini z nazoendelea zenye weak judiciary system.
Death row ni watu waliohukumiwa kifo wanaosubiri hukumu yao kutekelezwa, mleta uzi anazubgumzia watuhumiwa walio mahabusu.Kitaalamu inaitwa death row
Kitengo cha upelelezi kitolewe police kisiwe idera ya police kiwe chini ya mwendesha mashtaka WA serikali itasaidia snaa wakiajiri Kwa mkupuo watu 30000 waanze kukisuka polepole kuliko kuachia polisiTatizo kubwa polisi wetu hawana uwezo wa kupeleleza kitaalamu….wanatumia mbinu ya kupiga watu na kutesa ili wakubali na kutokana na watu kuchoka na mateso wanakubali…..Mimi naamini na kuna wafungwa na na mahabusu ambao wamebambikiwa tu kesi...
Kitengo cha upelelezi kiboreshwe na watu wapewe mafunzo hata nje ya nchi…
Sector ya ikuluHii nchi kila sector ina tatizo, sijui ni sector ipi useme haina matatizo
Jaji mkuu Yuko kwenye huo mfumo kitambo ndio maana sasa ni bosi. Anajua kila kitu, ndio hivyo tena hana nia ya kutafuta suluhisho.Jaji Mkuu anataarifa hii? Kwamba kesi zinacheleweshwa? Kuna sababu gani ya kumshikilia mtu kwa kesi ya mauaji kwa miaka 15 kama upelelezi umeshindikana bunge litunge sheria ya jaji kuwaachia Mahabusu waliokaa miaka 5 Mahabusu wakisubiri upelelezi ukamilike.