Kesi za talaka zizingatie muda kwenye kutoa hukumu kuepusha ukatili dhiki ya mwanamke

Kesi za talaka zizingatie muda kwenye kutoa hukumu kuepusha ukatili dhiki ya mwanamke

Wee zaa nje afu mwambie mumeo Mtoto sio wake afu kimbilia mahakamani ukadai talaka yako kwa kukiri wazi kua umezaa nje.
 
Huwa simuelewi mwanaume anayemtetea mwanamke
Na aliyekimbilia mahakamani kuomba talaka ni mwanaume au mwanamke?
Mahakama lengo lake si kubomoa bali ni kujenga ushahidi usio shaka ukionyeshwa sawa kwa huo muda hata kama ni miaka haki itapatikana tu mambo ya madhara upande wa mke hauihusu mahakama na mahakamani kaenda mwenyewe sio mahakama ilimuomba aende asiipangie muda
 
Si wameshaachana?Mwenzake kaoa wake wengine huko,yeye katulia anasubiri karatasi.Na yeye azae,karatasi itamkuta.
Akizaa anaonekana kazaa inje ya ndoa ambalo ni kosa kwa mujibu sheria ya ndoa mke kuzaa na mwanaume mwingine ikiwa bado anandoa
 
Jambo wengi wasilolijua ni kuwa Mahakama yenyewe huwa haitaki kutoa talaka, talaka si amri ya kujivunia kwa Hakimu au Jaji yoyote. Ndio maana wanavuta muda kwanza.

Ishu za uhalifu dhidi ya binadamu kuna kitu kinaitwa amri ya utengano (separation order) hii ikiombwa inasaidia kuepusha mtu upigwa matukio yakusisimua.
 
Kwani akizaa kabla ya talaka atachukukiwa hatua gani kisheria?
Ni kosa kwa mujibu wa sheria ya ndoa pia endapo maamuzi ya mahakama yakitoka yanaweza kumnyima mama haki ya kulea watoto kwa kutambulika ni kahaba hivyo hastahili kulea watoto (kasodi ya watoto ananyimwa) pamoja na haki zingine hapewi
 
Akizaa anaonekana kazaa inje ya ndoa ambalo ni kosa kwa mujibu sheria ya ndoa mke kuzaa na mwanaume mwingine ikiwa bado anandoa



Isipokuwa wanaume wenyewe ndio wanaruhusiwa kuzaa nje ya ndoa ?

Kwao sio kosa?
 
Jambo wengi wasilolijua ni kuwa Mahakama yenyewe huwa haitaki kutoa talaka, talaka si amri ya kujivunia kwa Hakimu au Jaji yoyote. Ndio maana wanavuta muda kwanza.

Ishu za uhalifu dhidi ya binadamu kuna kitu kinaitwa amri ya utengano (separation order) hii ikiombwa inasaidia kuepusha mtu upigwa matukio yakusisimua.
Halafu huo muda wa kuchelewesha kesi hao watu waendelee kuzini tu au!?
Ukweli tu usemwe mahakama inachangia uhalifu kwa uzembe!
Miezi mitatu hata sita inatosha kesi za talaka kuwa zimeondolewa au kumalizika...maisha yaendelee!
 
Huwa simuelewi mwanaume anayemtetea mwanamke
Na aliyekimbilia mahakamani kuomba talaka ni mwanaume au mwanamke?
Mahakama lengo lake si kubomoa bali ni kujenga ushahidi usio shaka ukionyeshwa sawa kwa huo muda hata kama ni miaka haki itapatikana tu mambo ya madhara upande wa mke hauihusu mahakama na mahakamani kaenda mwenyewe sio mahakama ilimuomba aende asiipangie muda
Kesi nyingi sana mahakamani zinapigwa danadana lakini wanandoa washatengana!
Hili lina madhara makubwa kwa wanawake maana menopause inawasubili!
 
Mwanaume kuzaa nje ya ndoa si kosa?
Ni kosa lakini ushahidi wake ni mgumu ...kuliko mwanamke anaeonekana na tumbo liveee halafu mahakamani itasomeka kazaa inje ya ndoa hivyo ni kahaba hastahili haki
 
Madhala ya muda yanamgharimu zaidi mwanamke kwasababu ya menopause endapo atahitaji kuzaa tena katika maisha yake
Umalaya tu Unawasumbua.
Kwahiyo Mnaomba Talaka Ili Mzae Au Ili Muwe Huru Kuzaa?
 
Ni kosa lakini ushahidi wake ni mgumu ...kuliko mwanamke anaonekana na tumbo liveee
As far as sijaua ,sijaiba na siku hizi si lazima uto mbane ndo upate mimba. Kusema ukweli kama ninahitaji mtoto nitakwenda zangu Muhimbili nitafanya artificial insemination za mtu donner asiyejulikana na kujipatia mimba.Liwalo na Liwe.Imagine nina miaka 46 labda,ya nini kujuta baadae?
 
Halafu huo muda wa kuchelewesha kesi hao watu waendelee kuzini tu au!?
Ukweli tu usemwe mahakama inachangia uhalifu kwa uzembe!
Miezi mitatu hata sita inatosha kesi za talaka kuwa zimeondolewa au kumalizika...maisha yaendelee!
Hakimu/Jaji atoe talaka chapu halafu baada ya muda uwakute wazinzi wawili wameshikana mikono huku mwanamke mjamzito.

Huwezi amini haya yamekwisha kutokea Tanzania hii hii ndio maana tumefikia hapa.

Ila bado urefu wa muda kama mdau mmoja alivyosema hapo juu unachangiwa na wadaawa wenyewe pia. Kama walishapitia separation haina haja ya kutoa order ya separation tena.

Na Mahakama inawapiga kalenda ili kukatisha tamaa jamii isijikite kwenye kufungua kesi za talaka pia, maana madhara ni mengi kama zikifunguliwa kwa wingi.

Binafsi naona hata muda wa ndoa inayopaswa kuvunjwa kwa talaka uongezeka kutoka miaka miwili ya sasa hadi hata miaka 5, iwe ndoa chini ya miaka 5 hakuna kuvunjwa kwa talaka.
 
Umalaya tu Unawasumbua.
Kwahiyo Mnaomba Talaka Ili Mzae Au Ili Muwe Huru Kuzaa?
Una watoto wa kike? Au ukoo wenu hauna wanawake? Jifunze kuheshimu binadam mkuu!
Tofauti za kibinadam zisimyime haki binadam mwenzako
 
Kinachowasumbua Wanawake Wengi Wanaishi Kwa Kutizama Mali Zaidi Na Siyo Upendo.
 
Back
Top Bottom