Uchaguzi 2020 Kesi za Tundu Lissu na Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Kesi za Tundu Lissu na Uchaguzi Mkuu wa 2020

Luthertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2018
Posts
206
Reaction score
830
CCM wamekuwa na hofu kubwa sana juu ya huyu mgombea wa CHADEMA. Mgombea wa CCM huyo siku zote amejawa hofu na ndiyo sababu kwenye chama chake hakuruhusu mtu hata mmoja kuchukua form ya kugombea urais.

Tundu Lissu akienda Mahakamani Kisutu na kusomewa mashtaka mapya kama walivyopanga hawa watesi wetu, basi atanyimwa dhamana na hatakuwa nje ya sero ili kujibu pingamizi ambazo zitakuwa zimepelekwa Tume ya uchaguzi. Hivyo Tume yetu itakuwa imeweza mfurahisha mtesi wetu kwa kumuengua Lissu kwenye list ya wagombea.

Tundu Lissu asipoenda mahakamani, hakimu atasema huyo amedharau mahakama na atatoa agizo la Lissu kukamatwa. Naona mitego ni mingi sana.

Watanzania tutambue kwamba kuikomboa nchi yetu kutoka kwa mkoloni mweusi(CCM) siyo kazi ndogo. Tena afadhali mkoloni mzungu kuliko huyu mwenzetu, sababu huyu mweusi ana rangi kama yetu, tunaishi naye, na anafanana na sisi.
 
Ni wazi kabisa CCM wanahaha kila kona kuhakikisha Lissu hapenyi!! yaani hawa wanaopendwa na wananchi kila kona wanayataka matokeo ya mezani - hanataka kukutana na timu dhaifu sisizo na bechi la ufundi.

Kama umefanikisha tukafikia uchumi wa kati, kama unajenga Reli, umenunua maNdege, umejenga madaraja, umenunua maMeli - sasa unaogopa nini kukutana na mpinzani ambaye hajawafanyia watanzania chochote!!
 
Hivi nyie CHADEMA mbona pasua kichwa? Mnagombana na ccm, huku mnagombana na mahakama, kule mnabifu na tume ya uchaguzi, ukigeuka huku mnagombana na jeshi la polisi, upande mwingine mnataka media zisipokuja kwenye mikutano yenu waandishi wapigwe.Wakati huo huo mnataka kuingia ikulu YAAANI SHEEDA. Lakini dawa yenu iko jikoni kufikia tarehe 28october dawa itakuwa imeiva mtaipata na akili zitawarudia.
 
Mola ataendelea kumpigania kama alivyoweza kumwepusha na umauti. Atavuka tu mtihani huu. Tusiwe na hofu.
 
CCM wamekuwa na hofu kubwa sana juu ya huyu mgombea wa CHADEMA. Mgombea wa CCM huyo siku zote amejawa hofu na ndiyo sababu kwenye chama chake hakuruhusu mtu hata mmoja kuchukua form ya kugombea urais.
Lissu si alizikimbia kesi mpaka alipoamua kurudi kugombea urais?acheni Sheria ifuate mkondo
 
Back
Top Bottom