Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

kwa kweli sikujua hilo wakati naweka thread hii..hata hivyo huyo jamaa alikuwa na roho ya kinyama sana,yaani alitaka akaelezee nini kwa picha hiyo huku nyuma akiacha ukweli kuwa kuna hatari inamnyemelea mtoto huyu dhoofu?

Tanzania hii kuna watoto chini ya miaka mitano wengi tu wanakufa kwa utapiamlo mkali.(marasmus na kwashiorkor) kwa kukosa milo kamili na huduma bora za afya. Mafisadi wanatumbua tu pesa i wish wajikomit suicide kama huyu photographer, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Tanzania hii kuna watoto chini ya miaka mitano wengi tu wanakufa kwa utapiamlo mkali.(marasmus na kwashiorkor) kwa kukosa milo kamili na huduma bora za afya. Mafisadi wanatumbua tu pesa i wish wajikomit suicide kama huyu photographer, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
hapo umenena mkuu kwani hata kuna fedha za donors kwa ajili ya kusaidia matatizo hayo lakini zinaishia wizarani
 
Ev'ry time I hear the crack of the whip
My blood runs cold
I remember on the slave ship
How they brutalised our very souls
Today they say that we are free
Only to be chained in poverty
Good god, I think it's all illiteracy
It's only a machine that make money.

SOURCE: marehemu bobu male & ze weilaz
 
Ev'ry time I hear the crack of the whip
My blood runs cold
I remember on the slave ship
How they brutalised our very souls
Today they say that we are free
Only to be chained in poverty
Good god, I think it's all illiteracy
It's only a machine that make money.

SOURCE: marehemu bobu male & ze weilaz

ze filamu ya ruuuts ya kunta kinte uminikumbushia
 
Ev'ry time I hear the crack of the whip
My blood runs cold
I remember on the slave ship
How they brutalised our very souls
Today they say that we are free
Only to be chained in poverty
Good god, I think it's all illiteracy
It's only a machine that make money.

SOURCE: marehemu bobu male & ze weilaz

RIP Bob Marley..The Great Thinker
 
View attachment 20065

Hope the Photographer saved his/her life
The photographer did not save her/his life. He was the journalist from South Africa. Unfortunately he took the picture and fled. He then commited suicide after sometime because of guilty concious,he felt so bad on how he couldn't help the kid and in 1994 it became the picture of the year. That kid was walking to a refugee camp 1km from there where they were distributing some food n water. And the vulture behind him was waiting for him to die and eat him! Verry terrible!
 
Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!


aedb87ba83.bmp


Mwenyeezi Mungu Amlaze mahala pema.

Amin.


__________________
 
jamani acheni kushabikia mambo ohoooooooooo!!!!!!!!!!!!!
 
jamani acheni kushabikia mambo ohoooooooooo!!!!!!!!!!!!!
Nani anashabikia? Kwa Kuuliwa huyo mtoto asiye na hatia ndio tunashabikia? Wewe kweli una moyo wa kibinadamu kweli? tujaalie huyo mtoto awe Mwanao au awe Mdogo wako kisha auliwe na Polisi au na Wanajeshi utafurahi wewe?
 
wallahi wanatia huruma hao watoto! mwenyezi mungu awepe moyo wa subra wazazi wa huyo mtoto,inasikitisha sana,Mwenyezi mungu atuepushe na Balaa na vita na njaa atupe amani na masikilizano Nchini kwetu Ameen.
 
Mbona hata wapalestina wanawauwa sana watoto wa Kiyahudi? Au hadi tuweke picha hapa kama wewe ndipo uamini?

Acha udini na ujinga mkuu...mada ya msingi hapa ni kuwa hawa watoto wanahaki ya kushi,kama unazo picha za watoto wa kiyaudi leta tuone hapa...kama huna la kusema is good ukae kimya kuliko kuleta hoja zisizo na mshiko...
 
Back
Top Bottom