Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viogozi dio wamefanya hunyu mtoto afikwe na mambo haya mabaya.![]()
NA HII JE WAIONAJE? KISIENI WAPI HAPO? SOMALIA?
Nani anashabikia? Kwa Kuuliwa huyo mtoto asiye na hatia ndio tunashabikia? Wewe kweli una moyo wa kibinadamu kweli? tujaalie huyo mtoto awe Mwanao au awe Mdogo wako kisha auliwe na Polisi au na Wanajeshi utafurahi wewe?
![]()
NA HII JE WAIONAJE? KISIENI WAPI HAPO? SOMALIA?
weka na wewe Picha ya kwako?
Hukulazimishwa utoe Tija zako kwenda pita na njia yako angalia usijikwae chini.......Hakuna tija katika topic hii, napita tu.
Mpiga picha wa picha hii alipewa tuzo ya kuwa hero wa mwaka alimuokoa huyo mtoto wakati black eagle akimusololea!!![]()
NA HII JE WAIONAJE? KISIENI WAPI HAPO? SOMALIA?
picha hiyo ilipigwa miaka ya 1984/85 nchini sudani, na mwafrica kusini, ni moja kati ya picha ya karne iliyopita. Jamaa aliyepiga picha hiyo alikuja kuwa tajiri baada ya kuiuza kwa moja ya magazeti makubwa nchini marekani. Tai anaonekana akimvizia mtoto aliyechoka kwa njaa kali, ili amdonoe,mpiga picha huyo alisubiri zaidi ya masaa ma4, akitegemea kupata picha bora zaidi. Mpiga huyo alikuja kujiua kwa kutumia aina ya sumu,iliyochanganywa na petrol,na kuwekwa ndani ya gari kisha gari kuwashwa,ndani ya chumba alichojifungia. Alivuta moshi uliochanganyika na sumu...alijiua baada ya kupokea shutuma toka kote ulimwenguni,wakimlaumu kwa kutomsaidi huyo mtoto,badala yake alijikita katika kupata picha. Mtoto huyo alikufa masaa machache baadae..
Member Array Atrocities graphic pictures The WE News ArchivesPicha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!
![]()
Mwenyeezi Mungu Amlaze mahala pema.
Amin.
__________________



Mkuu vipi hapa???nahizi za kutengeneza??picha za kutengeneza.
Kwa kuwafahamisha tu. Hapo huyo mtoto hajafa ila alikuwa akitambaa kwa kukosa nguvu kwa ajili ya njaa kali.
Huyo ndege 'Vulture' hapo nyuma alikuwa akijongea naye kila hatua akisubiri mtoto afe ili aweze kumla.
Mpiga picha wa hili tukio, nadhani ni 2005 au kabla, alijinyonga baadaye due to depression.