Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

Mkuu umejitahidi kweli kuleta hizo picha. Mimi nakushauri kama una ndugu yako huko mwambie arudi bongo, aje tuendelee kuupiga vita ufisadi maana hayo ya israel-palestina mchango wake ktk maendeleo yetu watz ni mdogo sanaaaaaaaaaaaa! Hebu lete picha zinazoonyesha madhara ya ufisadi wa ccm kwa watz ndiyo utaweza kutushawishi sisi watz tuweze kuchukua hatua kuikomboa hii nchi. Ukifanya hilo utakuwa mzalendo zaidi kuliko hayo ya hao waarabu na wayahudi
 
Kwa nini lazima muende Palestina? Mbona Congo hamsemi?

25802474.JPG

Kwa bahati mbaya sana wengi wa wanaofanyaga hayo huwa wana mlengo wa kidini zaidi kuliko huruma na dhamira yao kwa utu wa mwanadamu. Kongo mbali mkuu, nenda makete hali ni mbaya lakini mtu analeta picha ya waarabu, wapi na wapi ili hali sisi wenyewe tuna matatizo mengi na mabaya yenye uwezekano wa kuliangamiza taifa bila hata ya hao waarabu kututetea kama sisi tunavyojaribu kufanya
 
Fita ni fita Mura, wiki iliyopita Bhoke kafirwa na Babu yake, tukaziiika, jusi Marwa kafirwa na mke wake tukasika, reo wambura nae kafirwa na mwanae. Tuendelee kushirikiana kwani kila mtu atafirwa na ndugu au jamaa.
 
Acha udini na ujinga mkuu...mada ya msingi hapa ni kuwa hawa watoto wanahaki ya kushi,kama unazo picha za watoto wa kiyaudi leta tuone hapa...kama huna la kusema is good ukae kimya kuliko kuleta hoja zisizo na mshiko...


Wapi nimeongelea mambo ya dini hapo? Au wewe ndiye uko-obsessed na dini?

Kwani ni lazima ni weke picha hapa..tafuta kama hujapata picha za watoto wa kiyahudi wakiuliwa wakiwa kindergarten au wao hawastahili kuishi?
 
Aisee inatisha sana yahani hawa watoto hawana hatia kabisa ni kwa sababu ya watu wenye uroho wa madaraka nk
 
picha hiyo ilipigwa miaka ya 1984/85 nchini sudani, na mwafrica kusini, ni moja kati ya picha ya karne iliyopita. Jamaa aliyepiga picha hiyo alikuja kuwa tajiri baada ya kuiuza kwa moja ya magazeti makubwa nchini marekani. Tai anaonekana akimvizia mtoto aliyechoka kwa njaa kali, ili amdonoe,mpiga picha huyo alisubiri zaidi ya masaa ma4, akitegemea kupata picha bora zaidi. Mpiga huyo alikuja kujiua kwa kutumia aina ya sumu,iliyochanganywa na petrol,na kuwekwa ndani ya gari kisha gari kuwashwa,ndani ya chumba alichojifungia. Alivuta moshi uliochanganyika na sumu...alijiua baada ya kupokea shutuma toka kote ulimwenguni,wakimlaumu kwa kutomsaidi huyo mtoto,badala yake alijikita katika kupata picha. Mtoto huyo alikufa masaa machache baadae..

Marekebisho kidogo Mkuu, Hiyo picha ni ya March 1993, ilipigwa na Kevin Carter. Na hiyo shot aliipata kama bahati tu, wakati akifanya adjustment ya lens ili ampige picha huyo mtoto Vulture ndy akatua nyuma ya huyo mtoto. Carter alisubiri hapo dk 20 (Na siyo masaa4, kwani walikuwa na dk30 tu kabla kuondoka ndege iliyowapeleka) kuona kama Vulture ataondoka, lakini hakuondoka, ndipo alipoamua kumfukuza. Habari zaidi zinasema kuwa mtoto huyo ni mmoja kati ya watoto wengi walioachwa na mama zao walioenda kufuatilia chakula kutoka ndege za UN zilzokuwa zikitoa chakulla, mpaka leo haijulikani kama kabinti hako kalikufa au kalipona! Ukifuatilia historia ya maisha ya Carter utaona kuwa alizaliwa na kukulia katika maisha yaliyozungukwa na Ubaguzi na Mauwaji ya kutisha, juhudi zake za kukimbia maisha hayo ndy zilizomtoa jeshini na kumpeleka kwenye u-cameraman ambako alikutana na mambo mazito zaidi yaliyomsononesha na kumfadhaisha mpaka akafikia uamuzi wa kujiuwa kwa kuchomeka mpira wa maji kwenye exost ya gari yake na upande wa pili akauchomeka dirishani huku yeye akiwa ndani, hivyo sumu ya carbonmonoxide kumuua kwa utulivu kabisaa, aliacha ujumbe huu: "I am depressed ... without phone ... money for rent ... money for child support ... money for debts ... money!!! ... I am haunted by the vivid memories of killings and corpses and anger and pain ... of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners ... I have gone to join Ken [recently deceased colleague Ken Oosterbroek] if I am that lucky."
 
Marekebisho kidogo Mkuu, Hiyo picha ni ya March 1993, ilipigwa na Kevin Carter. Na hiyo shot aliipata kama bahati tu, wakati akifanya adjustment ya lens ili ampige picha huyo mtoto Vulture ndy akatua nyuma ya huyo mtoto. Carter alisubiri hapo dk 20 (Na siyo masaa4, kwani walikuwa na dk30 tu kabla kuondoka ndege iliyowapeleka) kuona kama Vulture ataondoka, lakini hakuondoka, ndipo alipoamua kumfukuza. Habari zaidi zinasema kuwa mtoto huyo ni mmoja kati ya watoto wengi walioachwa na mama zao walioenda kufuatilia chakula kutoka ndege za UN zilzokuwa zikitoa chakulla, mpaka leo haijulikani kama kabinti hako kalikufa au kalipona! Ukifuatilia historia ya maisha ya Carter utaona kuwa alizaliwa na kukulia katika maisha yaliyozungukwa na Ubaguzi na Mauwaji ya kutisha, juhudi zake za kukimbia maisha hayo ndy zilizomtoa jeshini na kumpeleka kwenye u-cameraman ambako alikutana na mambo mazito zaidi yaliyomsononesha na kumfadhaisha mpaka akafikia uamuzi wa kujiuwa kwa kuchomeka mpira wa maji kwenye exost ya gari yake na upande wa pili akauchomeka dirishani huku yeye akiwa ndani, hivyo sumu ya carbonmonoxide kumuua kwa utulivu kabisaa, aliacha ujumbe huu: "I am depressed ... without phone ... money for rent ... money for child support ... money for debts ... money!!! ... I am haunted by the vivid memories of killings and corpses and anger and pain ... of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners ... I have gone to join Ken [recently deceased colleague Ken Oosterbroek] if I am that lucky."

labda,huu ndo ukweli wa hii picha,very interesting
 
Acha udini na ujinga mkuu...mada ya msingi hapa ni kuwa hawa watoto wanahaki ya kushi,kama unazo picha za watoto wa kiyaudi leta tuone hapa...kama huna la kusema is good ukae kimya kuliko kuleta hoja zisizo na mshiko...

Ni kweli ndg.Inasikitisha.jaman VITA si ya kuomba! Mara zote wanaoteseka,kuuawa ni WANAWAKE na WATOTO.Watuulize tulioyaona RWANDA 93- 94 Vita si jambo la KUTAMANI hata KULIFIKIRIA tu ndugu zangu.
 
amlaze mahala pema WAPI...???

nani alikwambia MUNGU huwa anawalaza mahali pema waliokufa....??



 
Mbona hata wapalestina wanawauwa sana watoto wa Kiyahudi? Au hadi tuweke picha hapa kama wewe ndipo uamini?
Mtoto ni mtoto awe myahudi au mpalestina unaonyesha ni jinsi gani ulivyo na roho chafu.
 
Haya yalikuwa maneno ya Kevin Carter, mwanahabari mpigapicha wa Afrika Kusini aliyejiua 27 Julai mwaka 1993 kwa sumu ya kaboni-monoksaidi.


"depressed . . . without phone . . . money for rent . . . money for child support . . . money for debts . . . money!!! . . . I am haunted by the vivid memories of killings & corpses & anger & pain . . . of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners . . . " And then this: "I have gone to join Ken if I am that lucky."

Kevin Carter alikuwa mwanahabari wa picha anayejitegemea ambaye alipiga picha iliyokuja kupata umaarufu mkubwa wakati wa ukame huko Sudan mwaka 1993. Picha hiyo ambayo ilikuja kushinda tuzo ya Pullitzer na Tuzo ya Picha Bora ya Mwaka nchini Afrika Kusini ilikuwa ikumuonesha tumbusi aliyekuwa akisubiri kumla mtoto aliyekuwa angali hai bado lakini amedhoofu kwa njaa.

Kevin Carter - Photojournalist


artopn3479_clip_image002.jpg
 
Dunia nzima ilizizima kwa machozi picha inaonesha mtoto akiwa amelala chini huku kunguru akiwa anaelekea kudonoa mwili wa mtoto jamaa badala ya kuweka kamera chini kumwokoa mtoto yeye aliendelea na kazi yake ndipo dunia ilipohoji mpaka kupelekea kifo
 
sababu ya kujinyonga ni aibu ya kuzongwa na dunia au nini? unajua alifikili dunia itamsifu kwa kuwa mwandishi bora wa matukio

    • :wave:



 
Back
Top Bottom