Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Fact kabisaKijeba maana yake mtu mfupi ndicho alichomaanisha, lakini kiuhalisia hawa wachezaji wanaoitwa wafupi including Messi huo ufupi ni wa kimichezo tu sababu football ni mchezo wa watu warefu, lakini nje ya mchezo kwa kimo chao wana urefu wa kawaida tu ambao Wanaume wengi tunaowaita warefu ndio wanao
Yani vyote hajui ila ni basi tu πKuigiza hajui sasa ameona akaimbe[emoji23]
Maisha yetu yote ni usingle tuWa nini tena?
Zari kachonga kiuno mpaka kitovu kimekuwa kama jicho la mchina π€£π€£π€£Kumbe mshepu wa kisu
Siku zote najua ni yake hata hivyo imekaa vizuri sana mtu huwezi kujua
Sio kama kina Zari wanachonga viuno mpaka loh
Sasa itakuwaje jamani? Mngesema kabisa ni iPhone gani sisi vimbaumbau tujue π©π₯ΉMwanamke kumiliki iphone wakati tako huna ni kuhujumu brand ya iphone -Alisikika mlevi mmmoja lakini alikuwa anafanya utani tuuu ..ππππππππππππ
kujambia mbali ndio nini mkuu...?Mtoto bwege huyo, hio manzi ni kwerekweche aisee. Anajambiaga mbaliii kinoma π
Yao yaoBaraka huyohuyo, mtoto mkubwa tu wa miaka 7/8!
Kwa mfano ungependa kuwa na mchezaji gani wa sasa huko kwenye next life? π