Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Kijeba maana yake mtu mfupi ndicho alichomaanisha, lakini kiuhalisia hawa wachezaji wanaoitwa wafupi including Messi huo ufupi ni wa kimichezo tu sababu football ni mchezo wa watu warefu, lakini nje ya mchezo kwa kimo chao wana urefu wa kawaida tu ambao Wanaume wengi tunaowaita warefu ndio wanao
Fact kabisa
 
Huyu tangu Enzi za chuo alikuwa anatokaga na wazungu tu....ameanza zamani Sana ni professional
Kwakweli kwa ubora ‘kazini’ Sishkiki apewe maua yake, hashikiki kweli 🙌🏾🙌🏾
 
Kumbe mshepu wa kisu

Siku zote najua ni yake hata hivyo imekaa vizuri sana mtu huwezi kujua

Sio kama kina Zari wanachonga viuno mpaka loh
Zari kachonga kiuno mpaka kitovu kimekuwa kama jicho la mchina 🤣🤣🤣
Hayo mambo ya kufanya kwenye ujana jamani, ukishavuka 30’s utachekesha tu!

Yes, alichongwa vizuri sana na huwa hafichi. Anasema anatumia gharama sana kumaintain, na ana strict diet.
 
Mwanamke kumiliki iphone wakati tako huna ni kuhujumu brand ya iphone -Alisikika mlevi mmmoja lakini alikuwa anafanya utani tuuu ..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa itakuwaje jamani? Mngesema kabisa ni iPhone gani sisi vimbaumbau tujue 😩🥹
 
Back
Top Bottom