Yeah nilikwambia kimbia njoo"Nakuja, ila sio kwa kukimbia, natembea taratibu, nikikimbia nitaanguka na miguu enyewe haina vidole"
Wee uliandika "kimbia njoo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naambiwa hivo kuwa ashakula magay wote mjin ila yy haliwiYaan kumbuka asiliwee? Huyu wa kutaka kumpora mwanamke mume? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamzungumzia kumbuka yupiii wee??
Yaan msanii alimwaga pesa kwa Geeda? Bas wanazo za kuchezea wallahWasanii wetu wanasumbuliwa sana na nyege mshindo [emoji28][emoji28] siwezi kushangaa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.Yeah nilikwambia kimbia njoo
wEwe hauna vidole vya miguu? Mbona kutishana
Yeye ni mke wa mtu, elewa mke wa mtu.Naambiwa hivo kuwa ashakula magay wote mjin ila yy haliwi
Kwann?? [emoji23][emoji23][emoji23]Samahani mwanalunyasi mwenzangu hivi kuna ubuyu ambao huujui hapa mjini daslam??
Yap najua anaekula na kuliwa au mchicha mwiba.afu nyi mashoga bYeye ni mke wa mtu, elewa mke wa mtu.
Hizo story zenu za vijiweni, mtuachie sie tunao wajua.
Au kisa cha yule dogo ndo mnasema haliwi? Unajua maana ya "versatile"?
Inawezekana anapenda ndogo...na mademu wa sasa hivi wengi wanatumika milango yote hususani ukiwa na pesaHarmonize hajamwimbia wimbo wa side nigga huyo demu,halafu huyo demu harmonize alimla kipindi kile cha video ya single again,baada ya hapo mmakonde akamute😂 demu ndo alianza kumsumbua harmo mixa kujipostisha kwenye ig harmonize,mmakonde akafuta fasta maana harmonize alilewa walikuwa club demu akachukua simu akajipostisha..sasa hv mmakonde yupo humu jamaa anapenda ma.ta.ko balaa
Hahahaha, codes muhimu,Unasimamia codes zako, nimekusoma brother 👏🏾👏🏾
Wengine ngoja tuchangamshe genge
Huruma kvp? Kwan hao wanawake wenyewe hawaibiani mabwana?Yap najua anaekula na kuliwa au mchicha mwiba.afu nyi mashoga b
hamna huruma kuna demunmm
Aliendekeza urafiki na shoga mmoja akamfumania mmewe anamla cha ajabu jamaa kamuacha mke kampangia nyumba shoga .
[emoji38][emoji38][emoji38]Aisee wee utakuwa na mpenzi wako revola au mlenda vuguvugu
sasa Yao nae akale wapi,asititishe bwanaHamna lolote bwana.
Kwa nani sasa, PhD au huyo dogo P?Heheheh hallowwww!!!
Bas mkuu wa mkoa fulani anabutuaa palee.
Niliupata ubuyu kwa kuaminika, sikuchoka kwake, ila kwa mkuu wa mkoa, alivyo hafananiii
Ndo maana nkaanza kuamini, sku hizi u gay watu wanatumia ktk mambo ya ushirikina. Sio kwa yule baba jamani khaaah
nyie nyie nyiee,embu leteni huo ubuyu basiMbna Fei hata hakudate na lokoleee? Usije ona Paula alisema kuwa lokole anadate na mcheza mpira, bas lokole aliyekua ana date nae ni wa Azam, na waliachana baada ya mchezaji wa Simba kuingilia pale.
Nweiii fei mwenyewe ni versatile, anakula na kuliwa, si alikua analiwa na yule aliyepo simba sahv.
Oooh sasa nimekuelewa.Sijui ila ni kama Ray alimtumia feza kufanya appearance kwenye event kwa sababu ingetengeneza attention kwake. Alifanikisha hilo ila kwa feza sidhani kama harmo angeweza tengeneza kiki nae tena kwa kutumiwa na hasimu wake kwa wakati ule
So, feza hakupiga hesabu zake vizuri, angestick na kiki ya harmo ingempa mileage
Kwamba alikuwa anahudumu hapo saloon?GEEDA huyu wa kujurusha IG, ana jipya gani sasa? Afu naona kaanza ku trend mwaka jana, akat nimekaa nae sana classic saloon sinza mugabe.
Huyo msaniii nae poyoyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]