Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Yeye ni mke wa mtu, elewa mke wa mtu.
Hizo story zenu za vijiweni, mtuachie sie tunao wajua.

Au kisa cha yule dogo ndo mnasema haliwi? Unajua maana ya "versatile"?
Hivi ‘mume’ wake anayefahamika ni nani?
 
Yap najua anaekula na kuliwa au mchicha mwiba.afu nyi mashoga b
hamna huruma kuna demunmm
Aliendekeza urafiki na shoga mmoja akamfumania mmewe anamla cha ajabu jamaa kamuacha mke kampangia nyumba shoga .
Huyo acha yamkute.
Sisi Waislam katika Quran tumekatazwa kabisa kuwa na urafiki na mashoga, katazo kali.

Ila ni marafiki wazuri hao? Kuna mmoja pale Magomeni alitokea kunipenda mno nilipambana sana kumpotezea maana alikuwa rafiki mzuri kuliko wanawake wenzangu!
 
Inawezekana anapenda ndogo...na mademu wa sasa hivi wengi wanatumika milango yote hususani ukiwa na pesa
Sasa kwa Harmo hilo ni la kusemea inawezekana?

Hukuona yaliyokutwa kwenye nyumba yake aliyohama Mbezi Beach wakati ule?
Aibu tupu!
 
Huruma kvp? Kwan hao wanawake wenyewe hawaibiani mabwana?
Tatizo sio B, Tatizo ni mumewe, hata B wenyewe kwa wenyewe wanakwapuliana mabwana.

Ktk life langu, hakuna rafiki anae mjua baba tamu angu, iwe ke au B, noo baba tamu angu kujulikana kwa mashost zangu.

Ila B wanaotembea na waume za watu, wananshangazaa, hawaogopi kurogwa? Mbaya zaidi ukute na mkewe anamfahamu, khaaaah.

Big nooo
Safi sana, mwenyewe nimeshasema sitaki urafiki kwa kaka mzuri wangu!
Sitaki kabisaaaaa.

Ila mwaya sinaga mashoga, wa kutembeleana home sijui nini hapana.
Tuishie hukohuko makazini na barabarani.
 
Hahaaaa....nasubiri amalizie kwa Denis Nkane kisha aanze na mashabiki
Niko pale namba yangu ni ile ile mnishtue.....
Nkane atachelewa sana kupata mademu, pesa tu ndio itamuokoa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom