Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Itakusaidia nini wewe huyu akishagongwa? Badilika bwana.
Bila shaka umekosea jukwaa kama una taka maadili na utamaduni nenda scrow down utakutana na jukwaa la dini na kuna jukwaa la lugha na kuna jukwaa la Inteligencia pia kuna jukwaa la uvuvi.Hili jukwaa mazungumzo ni mbususu,papuchi na kugegeda.
😂😂😂😂😂😂😂
Natania tuu mkuuu
 
😂😂😂 mimi ushindani wwa kipuuzi kama huu sio tu siupenda ila hata siuwezii.
Nachukia sana kumpa hela mwanamke eti kisa mbunye..yan sitak hata kusikia huo uchuro. Mbunye ina nini hasa cha kuwatoa maelfu (zingatia "maelfu" sijafika hata kwenye "Malaki" )
Bro hakuna mtu aliyehonga kama mm.
Mm nilihonga mkuu mpaka vidhibiti vya kesi 🤣🤣🤣😂
Nikatimuliwa kazi
 
Sasa hawa wachezaji sii tunaishi nao huku mtaani jamani...bonus zao wanatuambia...so hela nje nje so mchezaji wa simba yanga kumpa demu million mbili wala hatingishiki unapewa tuu cha msingi uwe demu pisi kali
😂🤣🤣🤣 Mwanangu alijisajili timu mbili...na zote akachukua advance....tulikula kuku sana...ila alipofungiwa na FAT msoto aliupata peke yake 🤣🤣🤣
 
Baraka prince huyu huyu?ana mtoto kumbe

Nwei...next life(kama ipo) yangu nitafanya kila namna niolewe na mcheza mpira,hawa watu wana spesho pozisheni kwenye yale mambo
Hawana chochote....dada...
Watafute wazee wa pori kwa pori......issue si kufika kaanani au🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom