Hadi Udokta mumempa? Ila Amber Rutty ana kombe lake, hakuna wa kulibeba 🙌🏾🙌🏾Kwa umri wake Niffer ni muhimu akaendelea na utafiti wake kuhusu dudu. Akimaliza aandike ripoti na ku-submit kwa mkuu wa idara Dr Amber Ruty aweke comment.
Huyo acha yamkute.Yap najua anaekula na kuliwa au mchicha mwiba.afu nyi mashoga b
hamna huruma kuna demunmm
Aliendekeza urafiki na shoga mmoja akamfumania mmewe anamla cha ajabu jamaa kamuacha mke kampangia nyumba shoga .
Sasa kwa Harmo hilo ni la kusemea inawezekana?Inawezekana anapenda ndogo...na mademu wa sasa hivi wengi wanatumika milango yote hususani ukiwa na pesa
Wengine vinavyoumia ni vinyeoWadada wengi wenye wezere, kichwani huwa bure kabisa...
Mwisho wa siku kinachoumia ni kipochi manyoya...
Safi sana, mwenyewe nimeshasema sitaki urafiki kwa kaka mzuri wangu!Huruma kvp? Kwan hao wanawake wenyewe hawaibiani mabwana?
Tatizo sio B, Tatizo ni mumewe, hata B wenyewe kwa wenyewe wanakwapuliana mabwana.
Ktk life langu, hakuna rafiki anae mjua baba tamu angu, iwe ke au B, noo baba tamu angu kujulikana kwa mashost zangu.
Ila B wanaotembea na waume za watu, wananshangazaa, hawaogopi kurogwa? Mbaya zaidi ukute na mkewe anamfahamu, khaaaah.
Big nooo
Hahaaa namung'unya kwa raha zangu ubuyu. Nimecheka sana kwa hii comment yako.Wewe si ulikuwa unanisema kwa kuleta ubuyu? Kumbe ndio kwanza umezama unamung’unya kwa raha zako?
Hakuna cha uongo alichokisema, hayo ni mambo ya kawaida katika vikosi vya mpira.
Wewe kama tako lipo atakuelewa tuu