Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Huyo caren mbona analala na kuamka hapa kawe beach kwa proff pacome ila dada anatako laini sana anatutesa wapangaji wa hapa mnoooo
Kwahiyo inakuwaje sasa? Kwamba ushindi wa Yanga inategemea Caren kaamkaje? Maana kashikilia nguzo za Yanga hapo!

Mimi huyu akiwa jirani yangu tutahama kwakweli, nina wivu siwezi kuvumilia nikimkuta kaka mzuri anamuangalia 🤣 🤣
 
Sumi🥰
 
Kwani nimesemaje Mkuu? Nimesema Harmo anamega kisela kama kawaida yake, bado hajamtambulisha mwanamke yeyote rasmi baada ya Kajala.

Kujipost mwenyewe kwenye account ya Harmonize Instagram ni mbinu ya kivita, biashara lazima iongezeke wigo kwa kuwa Harmo anafuatiliwa na watu nwengi kila pembe ya Dunia.

Poshqueen ndio unanijuza, taarifa nilizokuwa nazo alikuwa na Vunja wa Bei.
 
Nimejaribu kuangalia huyo Careen kama atakuwa na walau kidole kimoja chenye kucha fupi kwaajili ya kazi ya usafi kunako Ikulu ya Magogoni sijakiona.

Sijui nilitaka kusema nini.......

Ila kwa huyo Sumi, Aucho anahitaji tumpe salute...pale alijua kulenga 😜.
Sumi anahitaji kupewa kadi ya hela za pension pamoja na password kabisa

Hizi tetesi ziwe kweli ama uongo ila Wazee tunasema kweli Vijana wanafaidi 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sio wote Mkuu, binafsi hilo limenishinda kabisa.
Daima huwa nakuwa na mmoja, tukishindwana nakuwa na mwingine hivyohivyo.
 
Tako kubwa kama tako kubwa.
Sasa ile glossary ya liquor store atamuachia nani?
Ila ule mzigo umejaa kweli kweli pamoja na mapaja yamejaa mno mpaka yanamwagika na kuvibrate yenyewe

Jobtruetrue 🤣
Si ndo anatafuta mtaji wa kuiendeleza? Hiyo Liquor Store ni side hustle, hii ndio kazi kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…