Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #81
Sikupingi Babu, na uko sahihi kwa upande wako...Sumi ni mkali kuliko huyo Careen, kwa maoni yangu lakini...
Angalia umbo lake na ngozi ilivyo laini...kingine hajatumika sana kuliko huyo Careen. Kuna namna ningeweza kuwaelekeza hapa namna ya kujua mali iliyotumika sana na yenye unafuu kidogo...
Nikifanya hivyo, nitakuja kuzua ugomvi huko majumbani kwenu...
Ni somo la mwaka 47 huko 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Babu haya mambo umeanza lini lakini? Hii ndio faida ya kuwa na wewe hapa jamvini. Huoni mwenzako Mohamed Said anavyotupa historia mujarab?
Nyie ni tunu.