Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Wee Aucho hela zote za Yanga, kashindwa nn kumtuliza yule dada khaaah.
Duuh bas kazii ipoo.
Sio Yanga tu, Aucho kachezea klabu kubwa kabla ya Yanga na ana maokoto ya maana kitambo.

Huko kwao ana bonge la hekalu hata kabla ya kuja Yanga, ana pesa chafuuuuu mmakonde akasome.
 
Ah wee unadhani mtu anaweza maliza dakika 90 za mbilinge mbilinge ashindwe kumpelekea moto mrembo dakika 40...acha kabisa tena yule aucho anaonekana ana de liboloz hatari
Usikariri Mkuu, natamani tungempata dada 'mwema' hapa aliyetoka na mchezaji atupe za ndaaani inakuwaje...

Aucho sura chachu ile namuogopa kinoma, na alivyo mkorofi! Eh
 
Siku Nikiwa mkubwa, nita luja uni fundishe babu wa mchongo 🤣😂😂😀🤒
 
Nibwela kwoki wenga? Nitila lepa, Nikita kugenda, apu nitila ugana nidokwahi? Magendelu Gene gana ngoji lepa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nisamehe kwa kukujaribu, kumbe umeiva 😄
Ila kama umenitukana, Mwenyewee!!!
Subiri nitafute mkalimani

Ningempa mzazi anitafsirie lkn wewe akili zako, usikute umeandika matusi ukaniponza mie😄
 
Duuh kumbe Baraka alipita hapa? Kijamaa kilikuwa kinagonga pisi nzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…