Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Yanga tu, Aucho kachezea klabu kubwa kabla ya Yanga na ana maokoto ya maana kitambo.Wee Aucho hela zote za Yanga, kashindwa nn kumtuliza yule dada khaaah.
Duuh bas kazii ipoo.
Tumechelewa, karamu imeshaliwa.Alooh ndio najua Leo
Huyo careen aucho akifeli tu atatutambua kwanza asije kumuharibu pacome kijana wa watu
Siku mechi na simba ikikaribia anamkatikia mwamba mpaka awe anapunyua mipira uwanjaniTumechelewa, karamu imeshaliwa.
Pacome ameshanasa nae, kwahiyo tumuachie Mungu tu first eleven ya Yanga iko mikononi mwa Caren!
SijaonaKwani na wewe hujaona?
Refa hatambui walio nje ya uwanja 😂😂😂Uokote, ucheze ilimradi uwe uwanjani maksi zako zitapanda 😂 😂
Usikariri Mkuu, natamani tungempata dada 'mwema' hapa aliyetoka na mchezaji atupe za ndaaani inakuwaje...Ah wee unadhani mtu anaweza maliza dakika 90 za mbilinge mbilinge ashindwe kumpelekea moto mrembo dakika 40...acha kabisa tena yule aucho anaonekana ana de liboloz hatari
Siku Nikiwa mkubwa, nita luja uni fundishe babu wa mchongo 🤣😂😂😀🤒Sumi ni mkali kuliko huyo Careen, kwa maoni yangu lakini...
Angalia umbo lake na ngozi ilivyo laini...kingine hajatumika sana kuliko huyo Careen. Kuna namna ningeweza kuwaelekeza hapa namna ya kujua mali iliyotumika sana na yenye unafuu kidogo...
Nikifanya hivyo, nitakuja kuzua ugomvi huko majumbani kwenu...
Ni somo la mwaka 47 huko 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Nisamehe kwa kukujaribu, kumbe umeiva 😄Nibwela kwoki wenga? Nitila lepa, Nikita kugenda, apu nitila ugana nidokwahi? Magendelu Gene gana ngoji lepa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh kumbe Baraka alipita hapa? Kijamaa kilikuwa kinagonga pisi nzuri sana.View attachment 2860213
NI MTIKISIKO!
Kiungo punda, kisiki wa Klabu ya Yanga Khalid Aucho ‘Daktari’ na Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ kwa pamoja wako mapenzini na mwanadada mrembo wa kuitwa Caren Simba.
Kiungo huyo Mganda anayetajwa kama sehemu ya mafanikio ya Yanga kwa msimu wa tatu mfululizo, na msanii asiyekaukiwa matukio, Harmonize haifahamiki kwa uhakika ni nani aliyeanza kuwa na mrembo huyo, na kama kila mmoja anafahamu uwepo wa mwenzake!
Kwa kiasi kikubwa, kuna uwezekano Harmonize anafahamu uwepo wa ‘Daktari’ Aucho kama bwana mwenza kutokana na mienendo yake ya ‘kumega kisela’ ambayo huiweka wazi hadi kutungia wimbo ‘Side Niggah’
NI WAFUASI WA SHEIKH KIPOOZEO…
Kutokana na historia ya wanawake waliowahi kujihusisha nao kimapenzi, wote wawili Aucho na Harmonize ni wazi ni wapenzi wa neema za Allah a.k.a mizigo kama asemavyo kipoozeo.
Khalid aliyekuwa kwenye mahusiano pekee yaliyofahamika na mwanadada kutokea kituo cha habari cha Uganda BBS Sumi, huku Harmonize akiwa na Kajala… wote wakiwa ni wanadada ‘waliojaaliwa’ neema hizo za Allah!
Ex wa Aucho, Sumi
View attachment 2860225
Mwanadada huyo Caren ambaye ni mzazi mwenza wa Baraka Prince, shughuli zake zinazofahamika ni uigizaji na kwa kiasi kidogo ameonekana katika video za muziki wa Bongo Fleva huku wimbo maarufu ukiwa ni Single Again kutoka kwa Harmonize.
AJISOGEZA KWA PACOME ZOUZOUA!
View attachment 2860223
Kwa habari za chinichini ni kwamba mwanadada huyo yuko mbioni kulisaka penzi la Mchezaji ‘Profesa’ Pacome pia kutokea Yanga.
Wakati jitihada hizo za Caren juu ya Pacome zingali zikiendelea, Khalid Aucho bado anamshikilia mrembo huyo.
Itakuwaje kama Pacome akinasa Ulimbo? Yatakuwa kama ya Kevin De Bruyne na Thibaut Courtois kwenye bifu lisiloisha juu ya mwanamke?
Mungu apishilie mbali!
Heri ya Mwaka Mpya wadau wangu katika ubuyu…
Chanzo chetu ni kilekile nyeti,
Nifah.
Kwahiyo ulidumu na bikra kwa muda gani?AlhamduliLlah, sijawahi kuzini wala kufanya uasherati.
Uchafu huo unafanywa na washenzi tu.
Sema na Caren asivyo na akili ataliwa na team nzima, Wahuni pale wanateleza tuu hawana mpango wowotePole Mkuu, na wachezaji wasivyo na akili watamalizwa wote team nzima.
Caren mbona wakaida mnooDuuh kumbe Baraka alipita hapa? Kijamaa kilikuwa kinagonga pisi nzuri sana.